Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Nondo Kali mzee, nyingine hamna?, Huyo dingi ako ni kauzu sana
 
Hii story main heading ilitakiwa isomeke MIMI NI BABA YANGU NA BABA YANGU NI MIMI halafu inafuatiwa na heading nyingine kwa herufi ndogo ndani ya mabano (A life true story)
Isingeweza kua kwa sababu analyse kasema alichokipitia baba yake kwake yeye hakifiki hata kwa 5%
 
Imeendelea post #27

Imeendelea tena post #68

Imeendelea tena post #137

Imeendelea tena post #177

Imeendelea tena post #208

Imeendelea tena post #306

Imeendelea tena na kuisha katika post #486

Analyse #387 haipo hapo..
 
Hapo uliposema, "ulipomaliza chuo". kwani chuo umeenda lini wewe, coz kwenye story yako inaonyesha baada ya kidato cha nne, uliingia street rasmi?
 
Soma huu ndiyo amejibu maswali mengi.
Huo uliofutwa alivyoviandika huku ndiyo kaviandika kule
Mimi uzi huu nimeufuatilia comment kwa comment na ule uzi uliofutwa ni kama unajibu maswali yote aliyoulizwa kule na amefafanua kwa undani
 
Mimi uzi huu nimeufuatilia comment kwa comment na ule uzi uliofutwa ni kama unajibu maswali yote aliyoulizwa kule na amefafanua kwa undani
Oh, sikumbuki vizuri ule niliusoma ila niliona watu wanasema mods wahamishe comments za huku wapeleke kule maana kama vile alichoka kurudia vitu alivyovielezea huku.
And yeah kule aliongezea vitu kwa upana zaidi. Hivi kwa nini ulifutwa?
 
Oh, sikumbuki vizuri ule niliusoma ila niliona watu wanasema mods wahamishe comments za huku wapeleke kule maana kama vile alichoka kurudia vitu alivyovielezea huku.
And yeah kule aliongezea vitu kwa upana zaidi. Hivi kwa nini ulifutwa?
Kuhusu hilo swali lako labda tuwaulize mods
 
Bro umegusa wengi sana....nakumbuka siku moja wakati nimepokea mshahara ilikuwa kama 20,000/= late 90"s, nilimuuliza mama yangu " mbona chai haina sukari?" Baba yangu alijibu kwa jeuri,,,unamuuliza huyo nk mke wako??? hamu ya chai iliisha kabisa......hakika nilihama kimya kimya..na mdingi alinilipia pango mwaka mzima.......he passed away already but sisahau....alinifundisha kitu.....hongera sana Broo....wengi watajifunza hapa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…