Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...



🤣🤣🤣🤣🤣😙 I like u...ila nionee huruma jaman nasoma huku nacheka..mtiririko mzuri sana sana..unapangilia maneno..ila nnacheka balaa..hawa ndo wanaume sasa..dah ngj niendelee
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji11] I like u...ila nionee huruma jaman nasoma huku nacheka..mtiririko mzuri sana sana..unapangilia maneno..ila nnacheka balaa..hawa ndo wanaume sasa..dah ngj niendelee
Kwa hiyo sisi mboga nane hatuna elements zozote za uanaume? Tuonee hurum mtumishi...
 
Mtumishi tuseme za ukweli..wewe huwez kaa bench moja na mtoa mada..au hata mimi never! Wewe mayai sana ujue[emoji39]....!ushazoea mavipupwe ya ofisini
Sili kipupwe mtumishi, nafanya kazi za nguvu, tofali na zege acha kabisa mama. Yaani kweli unasema siwezi kaa bench moja na wewe? Dah umenishusha sana, viwango vya slayqueen kabisa[emoji23]
 
Sili kipupwe mtumishi, nafanya kazi za nguvu, tofali na zege acha kabisa mama. Yaani kweli unasema siwezi kaa bench moja na wewe? Dah umenishusha sana, viwango vya slayqueen kabisa[emoji23]


Ah wapi...ww huwez fanya kazi ngumu bwana!...hizo tunaziweza kina yakhe!mie huwez fanya kazi nazofanya bwana...ww ushazoea maisha 🖖
 
Ah wapi...ww huwez fanya kazi ngumu bwana!...hizo tunaziweza kina yakhe!mie huwez fanya kazi nazofanya bwana...ww ushazoea maisha [emoji868]
Duh, laiti ungejua mtumishi wala usingeandika hivi. Karibu kwangu utaona kazi zangu, uje na blanket lako kabisa.
 
Aisee!! Nimesoma story kamili ila mkuu najiona sijaanza hata safari uliyopitia wewe. Nimempenda mzee wako bure aisee, MCHEKESHAJI ALIYE SERIOUS. Watu kama ninyi wamebaki wachache sana na hii ya kuitwa mahali kisha mwenyeji akazima simu naona imeshamiri sana. Lakini yote heri, maisha lazima yaendelee. BIG UP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…