Kheri Hansen
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 1,025
- 1,238
Kila nikitune redio nakutana na " wezeshaaaa...muwezesheeee...tuma pediiii, au helaaa kwenda namba 555 na uchafu". Shaabash
Eeeeniweei ila Clouds Media mmezidi. Imagine mtu mzima kama mimi unaniambia nitoke kwa mtogole nipeleke pedi Mlimani City🙂
Eeeniwei, ila mbona kila mbona mnaemshikia bango kuwa amejiwezesha unakuta ni mama? yaani ni jimama haswa halafu dada la mujini!!! 🙂
Tusipakane mgongo kwa chupa ya mafuta, HAKUNA MWANAMKE ANAYAJIWEZESHA, WOTE HUWEZESHWA. sio mama yangu sio dada, feminism is simply weak.
Kwanini hamumuwezeshi mtoto? huyu ndio anayehitaji kuwezeshwa: elimu, afya, kinga, etc. Nyie mko bize na makahaba ya mujini eti wamejiwezesha.
Naitwa edwini mhogo kutoka shule ya msingi SHilawadu darasa la 5 B. Clouds Mungu anawaona
Eeeeniweei ila Clouds Media mmezidi. Imagine mtu mzima kama mimi unaniambia nitoke kwa mtogole nipeleke pedi Mlimani City🙂
Eeeniwei, ila mbona kila mbona mnaemshikia bango kuwa amejiwezesha unakuta ni mama? yaani ni jimama haswa halafu dada la mujini!!! 🙂
Tusipakane mgongo kwa chupa ya mafuta, HAKUNA MWANAMKE ANAYAJIWEZESHA, WOTE HUWEZESHWA. sio mama yangu sio dada, feminism is simply weak.
Kwanini hamumuwezeshi mtoto? huyu ndio anayehitaji kuwezeshwa: elimu, afya, kinga, etc. Nyie mko bize na makahaba ya mujini eti wamejiwezesha.
Naitwa edwini mhogo kutoka shule ya msingi SHilawadu darasa la 5 B. Clouds Mungu anawaona