NAITWA FALAA!

adden

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
7,033
Reaction score
15,638
Jamaa aliaribikiwa na gari usiku ikambidi aende nyumba ya jirani na hapo kuomba hifadhi ya kulala.
Mama mwenye nyumba akamshauri mumewe kwamba sababu chumba hamna mgeni alale na baby!
Jamaa akakurupuka hapana me talala hapa sebleni!akiogopa kulala na baby usiku atamkojolea kitandani!...
Ilipofika asubuhi chumbani anatoka demu mkali anamsalimia mambo naitwa baby we unaitwa nani????
Jamaa likajibu naitwa fala!!!!!!!!
Hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…