AFYA YA MAMA NA MTOTO
Member
- Mar 1, 2019
- 29
- 11
Natumia jina la AFYA YA MAMA NA MTOTO, kwa sababu hicho ndo kitu ninachodeal nacho, nimeanzisha magrup ya facebook instagram na youtube channel inayoenda kwa jina hilo la Afya ya mama na mtoto,lengo ni kuelimisha jamii kuhusu mama na mtoto, ila kwa sasa nipo hosptal ya Rufaa KCMC mkoani kilimanjaro,Axanteni sana ndugu zangu,naamin tutakuwa pamoja kwmy hii jamii forum
AFYA YA MAMA NA MTOTO
AFYA YA MAMA NA MTOTO