AFYA YA MAMA NA MTOTO
Member
- Mar 1, 2019
- 29
- 11
Mwenyeezzi Mungu akubariki na akupe wepesi kwa amali hii Karim...Natumia jina la AFYA YA MAMA NA MTOTO, kwa sababu hicho ndo kitu ninachodeal nacho, nimeanzisha magrup ya facebook instagram na youtube channel inayoenda kwa jina hilo la Afya ya mama na mtoto,lengo ni kuelimisha jamii kuhusu mama na mtoto, ila kwa sasa nipo hosptal ya Rufaa KCMC mkoani kilimanjaro,Axanteni sana ndugu zangu,naamin tutakuwa pamoja kwmy hii jamii forum
AFYA YA MAMA NA MTOTO
Jmn nashkru sanaaaa sanaaa!!!!Mwenyeezzi Mungu akubariki na akupe wepesi kwa amali hii Karim...
Hahaa kawaida mbona tuKaribu sana mkuu ila hizo X na C kwenye Asante ni swagga au?
Madaktari wa kidigitali ππππππππππππππKaribu sana mkuu ila hizo X na C kwenye Asante ni swagga au?
hahaaahaaaaaaaaMadaktari wa kidigitali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KCMC umelazwa?Natumia jina la AFYA YA MAMA NA MTOTO, kwa sababu hicho ndo kitu ninachodeal nacho, nimeanzisha magrup ya facebook instagram na youtube channel inayoenda kwa jina hilo la Afya ya mama na mtoto,lengo ni kuelimisha jamii kuhusu mama na mtoto, ila kwa sasa nipo hosptal ya Rufaa KCMC mkoani kilimanjaro,Axanteni sana ndugu zangu,naamin tutakuwa pamoja kwmy hii jamii forum
AFYA YA MAMA NA MTOTO