Side Makini Entertainer
Member
- Jan 19, 2020
- 42
- 80
Hapana side mnyamwezi alikuwa ni msanii alishafarikigi Mimi ni Side Makini Entertainer.Wew ndo yule side mnyamwezi!?
Sawa mkuu kila mara ntakuwa nachapishaOk chapisha na hapa tuone umahiri wako
Asante sana kaka yanguKaribu sana kwenye ulimwengu wa wachapishaji wa Jf.
Dah umenitoa machoz mkuu ,karibu if Mungu akufanikishe sanaHapana side mnyamwezi alikuwa ni msanii alishafarikigi Mimi ni Side Makini Entertainer.
Muimbaji wa ‘Hujafa Hujaumbika’ na ‘Usidharau Usiyemjua’ Side Boy afariki dunia
Muimbaji wa muziki wa Bongo Fleva Said Salim aliyekuwa akitumia jina la kisanii la Side Boy Mnyamwezi amefariki dunia.
Side Boy amefariki leo katika hospitali ya Nyangao iliyopo mkoani Lindi. Aliwahi kutoa nyimbo kadhaa zikiwemo ‘Hujafa Hujaumbika’, ‘Usidharau Usiyemjua’ na ‘Kua Uyaone.’
Daudi Mchambuzi naskia hauonekani Jf ebu thibitisha uwepo wako tafadhaliitapendeza sana ukikutana na Dj DON NALIMISON mtaendana sana kwenye kazi zenu za sanaa.