Naiuliza Serikali, huu 'uhaini' hautawatisha wawekezaji wakiwemo DP World?

Naiuliza Serikali, huu 'uhaini' hautawatisha wawekezaji wakiwemo DP World?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Hili jambo la 'uhaini' lililoanzishwa na IJP Wambura na kuafuatia kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Nyagali na Dr. Slaa linanitafakarisha sana.

Inaripotiwa humu na kwingineko kuwa akina Wakili Mwabukusi wamehojiwa kwa kosa la uhaini. Kosa la kutaka kuipindua Serikali au kumuua/kumdhuru Rais. Kosa la kutisha la jinai.

Uhaini unatisha. Unamtisha anayeshtakiwa; anayeshtaki; wafuatiliaji na kadhalika. Anayeshtakiwa akikutwa na hatia mahakamani, anahukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Chimbuko la jambo hili ni Mkataba tata wa Bandari kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai inayowakilishwa na Kampuni ya DP World. Ni katika harakati za kutoa maoni na 'kupambana' kuuzuia mkataba huo popote pale. Wengi tumeukataa mchana kweupe kutokana na mapungufu yake.

Katika kuukosoa na kuuzuia, watanzania wenzetu hao wamejikuta matatani. Matatani kutokana na kauli zao na matendo yao (labda kwa kughazibika na kughafirika). Wamehojiwa kwa uhaini. Polisi na DPP wnaujua ukweli. Watatuanikia punde kupitia Mahakama.

Lakini, hili suala la uhaini (ambalo linagusa mamlaka na uhai wa Rais na Serikali) halitawatisha na kuwarudisha nyuma wawekezaji wakiwemo DP World? Yaani, ikiwa Serikali itaamua 'kuendelea' na mkataba wa DP World, hao DP World hawatatishwa na kutikiswa na uhaini huu unaotajwatajwa hapa Tanzania?

Busara huzuia hasira na hasara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba ( kwasasa Masasi, Mtwara)
 
Lakini kwanini raia tena kiongozi utishie kupindua serikali halili,? Katika usalama wanasema "never unders estimate any security threat:
 
Serikali imeanza kampeni ya kuitangazia Dunia kuwa Tanzania kuna mapinduzi unanukia hivyo hapako salama sana kwenye masuala ya uwekezaji.
Naisi wanapoanzisha japo hua hawaangalii negative and positive sides kwa mapana zaidi.
 
Make suala la Ugadi wa Mh. Mbowe ilisababisha watu wengi wa nje na viongozi wao kuudhuria mahakamani, then wakagundua kuwa ilikuwa mchezo wa kupitezana muda kwa serikali isiyokuwa na maono yoyote wa wananchi wake.
 
Walianzisha ishu ya ugaidi wakadhani wanawatisha wapinzani kumbe wanaitangazia dunia na wawekezaji kuwa Tanzania kuna ugaidi, walipogundua (late) wakazifuta kesi zote za ugaidi, leo wanafanya kosa lile lile la kuitangazia dunia kuwa Tanzania kuna nukia mapinduzi wanadhani wanawatisha wakosoaji wa mkataba peke yao kumbe wanawatisha hadi wawekezaji.
 
Hili jambo la 'uhaini' lililoanzishwa na IJP Wambura na kuafuatia kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Nyagali na Dr. Slaa linanitafakarisha sana.

Inaripotiwa humu na kwingineko kuwa akina Wakili Mwabukusi wamehojiwa kwa kosa la uhaini. Kosa la kutaka kuipindua Serikali au kumuua/kumdhuru Rais. Kosa la kutisha la jinai.

Uhaini unatisha. Unamtisha anayeshtakiwa; anayeshtaki; wafuatiliaji na kadhalika. Anayeshtakiwa akikutwa na hatia mahakamani, anahukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Chimbuko la jambo hili ni Mkataba tata wa Bandari kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai inayowakilishwa na Kampuni ya DP World. Ni katika harakati za kutoa maoni na 'kupambana' kuuzuia mkataba huo popote pale. Wengi tumeukataa mchana kweupe kutokana na mapungufu yake.

Katika kuukosoa na kuuzuia, watanzania wenzetu hao wamejikuta matatani. Matatani kutokana na kauli zao na matendo yao (labda kwa kughazibika na kughafirika). Wamehojiwa kwa uhaini. Polisi na DPP wnaujua ukweli. Watatuanikia punde kupitia Mahakama.

Lakini, hili suala la uhaini (ambalo linagusa mamlaka na uhai wa Rais na Serikali) halitawatisha na kuwarudisha nyuma wawekezaji wakiwemo DP World? Yaani, ikiwa Serikali itaamua 'kuendelea' na mkataba wa DP World, hao DP World hawatatishwa na kutikiswa na uhaini huu unaotajwatajwa hapa Tanzania?

Busara huzuia hasira na hasara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba ( kwasasa Masasi, Mtwara)
Congo kuna vita karibu asilimia 60 ya nchi ila bado kuna wawekezaji
 
Hii inadhihirisha ni kwa kiasi gani tunaongozwa na akili ndogo. Madhara ya hizi kauli za reje reja za uhaini zitakimbiza hata hao tuonaoita wawekezaji maana wataona mitaji yao haiko salama.
 
Hili jambo la 'uhaini' lililoanzishwa na IJP Wambura na kuafuatia kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Nyagali na Dr. Slaa linanitafakarisha sana.

Inaripotiwa humu na kwingineko kuwa akina Wakili Mwabukusi wamehojiwa kwa kosa la uhaini. Kosa la kutaka kuipindua Serikali au kumuua/kumdhuru Rais. Kosa la kutisha la jinai.

Uhaini unatisha. Unamtisha anayeshtakiwa; anayeshtaki; wafuatiliaji na kadhalika. Anayeshtakiwa akikutwa na hatia mahakamani, anahukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Chimbuko la jambo hili ni Mkataba tata wa Bandari kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai inayowakilishwa na Kampuni ya DP World. Ni katika harakati za kutoa maoni na 'kupambana' kuuzuia mkataba huo popote pale. Wengi tumeukataa mchana kweupe kutokana na mapungufu yake.

Katika kuukosoa na kuuzuia, watanzania wenzetu hao wamejikuta matatani. Matatani kutokana na kauli zao na matendo yao (labda kwa kughazibika na kughafirika). Wamehojiwa kwa uhaini. Polisi na DPP wnaujua ukweli. Watatuanikia punde kupitia Mahakama.

Lakini, hili suala la uhaini (ambalo linagusa mamlaka na uhai wa Rais na Serikali) halitawatisha na kuwarudisha nyuma wawekezaji wakiwemo DP World? Yaani, ikiwa Serikali itaamua 'kuendelea' na mkataba wa DP World, hao DP World hawatatishwa na kutikiswa na uhaini huu unaotajwatajwa hapa Tanzania?

Busara huzuia hasira na hasara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba ( kwasasa Masasi, Mtwara)
Wengi wewe na Padri Slaa?
 
Moja katika sababu zinazosababisha Tanzania kupata mikataba mibaya na kandamizi ni mambo haya ya kauli za ugaidi na uhaini zinavyozushwa bila kujitathmini kama nchi.
Nchi ikiwa na record mbaya awekezaji wanaweka masharti magumu na kandamizi ili kujihakikishia usalama wao na mali zao na faida zao.
Our credibility is damaged by these accusations
 
Hili jambo la 'uhaini' lililoanzishwa na IJP Wambura na kuafuatia kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Nyagali na Dr. Slaa linanitafakarisha sana.

Inaripotiwa humu na kwingineko kuwa akina Wakili Mwabukusi wamehojiwa kwa kosa la uhaini. Kosa la kutaka kuipindua Serikali au kumuua/kumdhuru Rais. Kosa la kutisha la jinai.

Uhaini unatisha. Unamtisha anayeshtakiwa; anayeshtaki; wafuatiliaji na kadhalika. Anayeshtakiwa akikutwa na hatia mahakamani, anahukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Chimbuko la jambo hili ni Mkataba tata wa Bandari kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai inayowakilishwa na Kampuni ya DP World. Ni katika harakati za kutoa maoni na 'kupambana' kuuzuia mkataba huo popote pale. Wengi tumeukataa mchana kweupe kutokana na mapungufu yake.

Katika kuukosoa na kuuzuia, watanzania wenzetu hao wamejikuta matatani. Matatani kutokana na kauli zao na matendo yao (labda kwa kughazibika na kughafirika). Wamehojiwa kwa uhaini. Polisi na DPP wnaujua ukweli. Watatuanikia punde kupitia Mahakama.

Lakini, hili suala la uhaini (ambalo linagusa mamlaka na uhai wa Rais na Serikali) halitawatisha na kuwarudisha nyuma wawekezaji wakiwemo DP World? Yaani, ikiwa Serikali itaamua 'kuendelea' na mkataba wa DP World, hao DP World hawatatishwa na kutikiswa na uhaini huu unaotajwatajwa hapa Tanzania?

Busara huzuia hasira na hasara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba ( kwasasa Masasi, Mtwara)
Lazima watishike na kwa ufupi ipo hivi, nchi yetu haijafikia kabisa uwezo wa kulinda wawekezaji na tatizo kubwa ni mifumo dhaifu inayotegemea rais aliyepo madarakani na siyo sheria au vyombo vya usalama etc. it’s sad mno.
 
Huku duniani watu wanatuuliza kuwa huko nchini mwenu tumesoma kwenye news kuwa kuna jaribio la mapinduzi vipi familia zenu ziko salama?, serikali yenu iko stable?, ni salama kutembelea huko?

Kuna haja IGP atoke hadharani aje autangazie umma kuwa mapinduzi yamethibitiwa au bado wanawasaka wote waliokuwa wanasuka mpango!
 
Hili jambo la 'uhaini' lililoanzishwa na IJP Wambura na kuafuatia kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Nyagali na Dr. Slaa linanitafakarisha sana.

Inaripotiwa humu na kwingineko kuwa akina Wakili Mwabukusi wamehojiwa kwa kosa la uhaini. Kosa la kutaka kuipindua Serikali au kumuua/kumdhuru Rais. Kosa la kutisha la jinai.

Uhaini unatisha. Unamtisha anayeshtakiwa; anayeshtaki; wafuatiliaji na kadhalika. Anayeshtakiwa akikutwa na hatia mahakamani, anahukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Chimbuko la jambo hili ni Mkataba tata wa Bandari kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai inayowakilishwa na Kampuni ya DP World. Ni katika harakati za kutoa maoni na 'kupambana' kuuzuia mkataba huo popote pale. Wengi tumeukataa mchana kweupe kutokana na mapungufu yake.

Katika kuukosoa na kuuzuia, watanzania wenzetu hao wamejikuta matatani. Matatani kutokana na kauli zao na matendo yao (labda kwa kughazibika na kughafirika). Wamehojiwa kwa uhaini. Polisi na DPP wnaujua ukweli. Watatuanikia punde kupitia Mahakama.

Lakini, hili suala la uhaini (ambalo linagusa mamlaka na uhai wa Rais na Serikali) halitawatisha na kuwarudisha nyuma wawekezaji wakiwemo DP World? Yaani, ikiwa Serikali itaamua 'kuendelea' na mkataba wa DP World, hao DP World hawatatishwa na kutikiswa na uhaini huu unaotajwatajwa hapa Tanzania?

Busara huzuia hasira na hasara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba ( kwasasa Masasi, Mtwara)
Wenzenu DPW walishafanya upembuzi makini, yaani mpaka mkataba wao unadai Serikali yeyote ile hata ya kihaini, hawachomoi!

Jamaa kweli ni mabeberu
 
Hili jambo la 'uhaini' lililoanzishwa na IJP Wambura na kuafuatia kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Nyagali na Dr. Slaa linanitafakarisha sana.

Inaripotiwa humu na kwingineko kuwa akina Wakili Mwabukusi wamehojiwa kwa kosa la uhaini. Kosa la kutaka kuipindua Serikali au kumuua/kumdhuru Rais. Kosa la kutisha la jinai.

Uhaini unatisha. Unamtisha anayeshtakiwa; anayeshtaki; wafuatiliaji na kadhalika. Anayeshtakiwa akikutwa na hatia mahakamani, anahukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Chimbuko la jambo hili ni Mkataba tata wa Bandari kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai inayowakilishwa na Kampuni ya DP World. Ni katika harakati za kutoa maoni na 'kupambana' kuuzuia mkataba huo popote pale. Wengi tumeukataa mchana kweupe kutokana na mapungufu yake.

Katika kuukosoa na kuuzuia, watanzania wenzetu hao wamejikuta matatani. Matatani kutokana na kauli zao na matendo yao (labda kwa kughazibika na kughafirika). Wamehojiwa kwa uhaini. Polisi na DPP wnaujua ukweli. Watatuanikia punde kupitia Mahakama.

Lakini, hili suala la uhaini (ambalo linagusa mamlaka na uhai wa Rais na Serikali) halitawatisha na kuwarudisha nyuma wawekezaji wakiwemo DP World? Yaani, ikiwa Serikali itaamua 'kuendelea' na mkataba wa DP World, hao DP World hawatatishwa na kutikiswa na uhaini huu unaotajwatajwa hapa Tanzania?

Busara huzuia hasira na hasara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba ( kwasasa Masasi, Mtwara)
DPW watafurahi kuona adhabu ya kifo inatekelezwa kama wafanyavyo kwao.
 
Back
Top Bottom