Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Apo chacha!!
Mrembo kutoka Bongoflevani Naj ambaye kwa sasa ni
mpenzi wa mkali anayemiliki mdundo wa ‘Nisamehe’ Baraka
the Prince, Leo October 15 anazichukua headlines baada ya
kuelezea exclusive baada ya kwenda nyumbani kwa mpenzi
wake na maneno waliyoongea na mama mkwe wake.
‘Unajua Idea ya kwenda kwa kina Baraka aliitoa Baraka
mwenyewe, nilivyosikia ananiambia vile nilijisikia raha
sana, nimekaa kama siku nne Mwanza na sikutegemea
jinsi walivyonipokea maana nilijua wataniona mimi ni
culture za kizungu sana‘>>>Naj
‘Tumeongea mambo mengi sana na mama yake baraka
vingine ni siri yangu lakini vingine ni kuhusu vyakula
anavyopenda baraka na ambavyo avipendelei, pia
aliniambia kuwa baraka huwa hapendi kula nyama‘ Naj
Mrembo kutoka Bongoflevani Naj ambaye kwa sasa ni
mpenzi wa mkali anayemiliki mdundo wa ‘Nisamehe’ Baraka
the Prince, Leo October 15 anazichukua headlines baada ya
kuelezea exclusive baada ya kwenda nyumbani kwa mpenzi
wake na maneno waliyoongea na mama mkwe wake.
‘Unajua Idea ya kwenda kwa kina Baraka aliitoa Baraka
mwenyewe, nilivyosikia ananiambia vile nilijisikia raha
sana, nimekaa kama siku nne Mwanza na sikutegemea
jinsi walivyonipokea maana nilijua wataniona mimi ni
culture za kizungu sana‘>>>Naj
‘Tumeongea mambo mengi sana na mama yake baraka
vingine ni siri yangu lakini vingine ni kuhusu vyakula
anavyopenda baraka na ambavyo avipendelei, pia
aliniambia kuwa baraka huwa hapendi kula nyama‘ Naj