Naj ni mwanamke mzuri sana

Yawezekana

Du mwnyw ana tutako twa kujaa kwny mkono mmoja, ana miguu km fito

Nywele na sura tu nayo ni asili yake vinginevyo hashtui hata kundi la nzi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu unavunja mbavu sasa
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] nmeona kumbe hata chura hana ooooshiiiih
 
Yawezekana

Du mwnyw ana tutako twa kujaa kwny mkono mmoja, ana miguu km fito

Nywele na sura tu nayo ni asili yake vinginevyo hashtui hata kundi la nzi
Daah,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]da prince atalia jamaniii
 
naww umepata vya kupost hapa?? eh Mungu saidia hivi vizazi potevu. wazazi wao wapate ada ya shule ili warudi shuleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…