Naja mziwanda

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
mabwana na mabibi. tumezoea mabibi na mabwana muda mrefu. tumewapa hawa mabibi nafasi ya kuwa mafirst lakini hawataki so bora mabwana waendelee na ukwanza wao. au sioooo!!!!
 
Una hoja Mziwanda hapo??? Tuambie agenda yako nini?
 
mabwana na mabibi. tumezoea mabibi na mabwana muda mrefu. tumewapa hawa mabibi nafasi ya kuwa mafirst lakini hawataki so bora mabwana waendelee na ukwanza wao. au sioooo!!!!
Salaam ya aina hiyo inatumika zaidi Sudan,nafikiri na nchi zingine za Kiarabu kama sijakosea.
 
Karibu maana unakaribishwa na mabwana kwanza na mabibi watakukaribisha baadaye. Hapa ni JF nyumbani kwa wenye fikra kubwa.
 
Wellcome, feel at home and serve yourself anything...
 
sema timor, sasa bado kuatach picha kama hiyo yako. nipe procedures, hata wengine ambao wanajua taratibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…