Najaribu kuwaza Jakaya Kikwete aliwezaje kuajiri Walimu na Madaktari wote katika kipindi chake wakati Hayati Magufuli hata mwaka mmoja alishindwa

Najaribu kuwaza Jakaya Kikwete aliwezaje kuajiri Walimu na Madaktari wote katika kipindi chake wakati Hayati Magufuli hata mwaka mmoja alishindwa

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani

JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiri graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?

Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.

JK tunakukumbuka sana.
 
Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani

JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiro graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?

Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.

JK tunakukumbuka sana.
Ni kwa sababu JK alikuwa anaongoza nchi, wakati Hayati JPM yeye alikuwa anaongozewa; na kwa bahati mbaya sana hakuwahi kujua kuwa aalikuwa anaongozewa; yeye alidhani kuwa alikuwa anaongoza
Inabidi tufikie mahali tuache tabia ya kuwahujumu viongozi wetu
 
Kati ya JK na JP mmojawapo alikuwa ni mtumishi wa shetani ndio maana hakuwa na huruma, na mwingine alikuwa ni mtumishi wa Mungu ndiomaana alikuwa na huruma, alitaka kila mtu apate hata kipande kidogo cha sungura aliyekuwa anapatikana katika utawala wake.
 
Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani

JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiro graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?

Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.

JK tunakukumbuka sana.
Wewe umeweza nini
 
Hizi nchi zote mnazoziona zimeendelea... wananchi wake wameuawa haswa... tena kwa sheria kali haswa... Watanzania mnapenda kudeka sana.. Jk nchi ilimshinda kabisaa.. sema alikuwa na mahusiano mazuri na wafanyabiashara na wahisani kutoka nje... JPM wananchi tulipigika lakini kuna vitu tuliviona... tena kwa muda mfupi... sasa hali ni mbaya kuliko unavyofikiria...
 
Hizi nchi zote mnazoziona zimeendelea... wananchi wake wameuawa haswa... tena kwa sheria kali haswa... Watanzania mnapenda kudeka sana.. Jk nchi ilimshinda kabisaa.. sema alikuwa na mahusiano mazuri na wafanyabiashara na wahisani kutoka nje... JPM wananchi tulipigika lakini kuna vitu tuliviona... tena kwa muda mfupi... sasa hali ni mbaya kuliko unavyofikiria...
Kipi kizuri kwako, ufe ili upate maendeleo ukiwa hujulikani ulipo au uapate neema na uhakika wa kula halafu uinjoy marndeleo. By the way maendeleo ni kuwa na uhakika wa kuishi na kula kwa kupata kipato. Hilo JK alilijua vyema.
 
Mbona jk aliweza vyote. Wakati wake ndo uliongoza kwa mtandao wa barabara.
Ndugu yaani unataka kufananisha ghrama za kujenga sgr, bwawa la nyerere, daraja la mwanza ziwa victoria na kilometa 1000 za lami?
 
Kipi kizuri kwako, ufe ili upate maendeleo ukiwa hujulikani ulipo au uapate neema na uhakika wa kula halafu uinjoy marndeleo. By the way maendeleo ni kuwa na uhakika wa kuishi na kula kwa kupata kipato. Hilo jk alilijua vyema.
Ishu sio kula unakula kwa muda gani? Kuna akiba? Je production zitakuwa endelevu...?..ipi bora kwako furaha ya muda mfupi then upotee..au huzuni ya muda mrefu huku kukiwa na mategemeo ya furaha ya daima?
 
Ishu sio kula unakula kwa muda gani? Kuna akiba? Je production zitakuwa endelevu...?..ipi bora kwako furaha ya muda mfupi then upotee..au huzuni ya muda mrefu huku kukiwa na mategemeo ya furaha ya daima?
Kwa hiyo una maama kwamba ipo siku ajra yangu hii ya serikali nitanyanganywa
 
Kwa hiyo una maama kwamba ipo siku ajra yangu hii ya serikali nitanyanganywa
Hilo ni swala la muda tu...subiri bandari ianze ndio utajua asilimia 70...operations zitafanyika kwa machines...na zilizobakia ndio zitafanywa na watu ambao ni skilled haswa..tena ni kazi kwa mkataba..
 
Kosa kubwa la Magu ni kufikiri alikuwa na akili nyingi kuliko wananchi wengine. Miradi yake mingi aliyoianzisha haikuwa/haina faida kwa wananchi walio wengi.

Mfano badala ya kujenga reli ya kisasa, ni bora mara 100 angejenga barabara za lami nchi nzima! Badala ya kununua ndege, angejenga madaraja ya uhakika, vivuko vya uhakika, na stendi za kisasa nchi nzima!! Yaani kidogo ule mradi wa umeme ndiyo utagusa wananchi walio wengi. The rest naona kwa upande wangu ni hasara tu kwa Taifa.
 
Kosa kubwa la Magu ni kufikiri alikuwa na akili nyingi kuliko wananchi wengine. Miradi yake mingi aliyoianzisha haikuwa/haina faida kwa wananchi walio wengi.

Mfano badala ya kujenga reli ya kisasa, ni bora mara 100 angejenga barabara za lami nchi nzima! Badala ya kununua ndege, angejenga madaraja ya uhakika, vivuko vya uhakika, na stendi za kisasa nchi nzima!! Yaani kidogo ule mradi wa umeme ndiyo utagusa wananchi walio wengi. The rest naona kwa upande wangu ni hasara tu kwa Taifa.
Mkuu umenena umeme kwa kinywa chako...kwamba ndio itasaidia...baba ni baba tu hata akifa utaikuta picha seatroom...mpeni jpm maua yake...Ukigusa Nishati nchi hii umegusa kila kitu..
 
Jakaya Kikwete alitumia miauniza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktri kiasi ambacho watu walikuwa wanapa giwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa flani

JPM hata mwaka mmoja tu alishi dwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiro graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezqje?

Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa samia sijui ataimalizaje. Ndo mana anastrugle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.

JK tunakukumbuka sana.
Usiwe kama kiande, hakuna awamu ambayo watu hawakuajiriwa

Usibishe kwa pumba sisi wenyewe tunaona huko makazini kuna raia kibao waliajiriwa zama hiyo ya Magu na shuhuda zipo
 
Ni kwa sababu JK alikuwa anaongoza nchi, wakati Hayati JPM yeye alikuwa anaongozewa; na kwa bahati mbaya sana hakuwahi kujua kuwa aalikuwa anaongozewa; yeye alidhani kuwa alikuwa anaongoza
Inabidi tufikie mahali tuache tabia ya kuwahujumu viongozi wetu
Ongezea nyama kidogo chief, una hoja nzito
 
Kila mtu alikuwa na kipaumbele chake.

Tunaweza kusema, ilikuwaje JPM akalifufua shirika la ndege lililokufa kwa miaka 6 Tu kwanunua ndege za kutosha huku Jk amekaa madaraka 10yrs na alishindwa.

Tunaweza kusema ilikuwaje JPM akajenga Hydro-plant huku zikiwa ndoto toka enzi za JKN.

Ilikuwaje in 6yrs JPM akajenga Daraja wami pale kuunganisha mikoa ya kaskazini huku toka Uhuru watu walisafiri Kwa shida.

Ilikuaje in 6yrs JPM akaanza kujenga SGR ya umeme, Dar to Mwanza huku wengine ilikuwa maneno tu.
 
Hizi nchi zote mnazoziona zimeendelea...wananchi wake wameuawa haswa...tena kwa sheria kali haswa...Watanzania mnapenda kudeka sana..Jk nchi ilimshinda kabisaa..sema alikuwa na mahusiano mazuri na wafanyabiashara na wahisan kutoka nje...JPM wananchi tulipigika lakin kuna vitu tuliviona...tena kwa muda mfupi...sasa hali ni mbaya kuliko unavyofikiria...
Kafikilie upya
 
Back
Top Bottom