Najaribu kuwaza kwa sauti kwanini wanaotekwa na watu wasiojulikana na wanaokamatwa na dola wanatumia mbinu na mazingira yale yale!

Najaribu kuwaza kwa sauti kwanini wanaotekwa na watu wasiojulikana na wanaokamatwa na dola wanatumia mbinu na mazingira yale yale!

lukoma

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2013
Posts
2,995
Reaction score
2,246
Ukifuatilia kwa karibu mbinu za watekaji au ukamataji wa raia ya wasiojulikana na dola zinafanana kwa kiasi fulani. Tofauti kubwa wasiojulikana wakiteka raia hawarudi lakini dola ikiteka au kamata raia atafikishwa mahakamani siku ya 2 au 3!! Lakini mbinu na mazingira ya ukamataji au utekaji wa wasiojulikana na dola ni yaleyale!!
 
Ukifuatilia kwa karibu mbinu za watekaji au ukamataji wa raia ya wasiojulikana na dola zinafanana kwa kiasi fulani. Tofauti kubwa wasiojulikana wakiteka raia hawarudi lakini dola ikiteka au kamata raia atafikishwa mahakamani siku ya 2 au 3!! Lakini mbinu na mazingira ya ukamataji au utekaji wa wasiojulikana na dola ni yaleyale!!
Ni wale wale kasoro tarehe, waswahili husema shetani ni shetani hata apake pafyumu
 
1577276532216.jpeg
 
Watekaji hawajabadilisha mbinu na mazingira ya utekaji wao, watakapobadilisha hata mazingira na maelezo ya watekwaji nayo yatabadilika.
 
Ukifuatilia kwa karibu mbinu za watekaji au ukamataji wa raia ya wasiojulikana na dola zinafanana kwa kiasi fulani. Tofauti kubwa wasiojulikana wakiteka raia hawarudi lakini dola ikiteka au kamata raia atafikishwa mahakamani siku ya 2 au 3!! Lakini mbinu na mazingira ya ukamataji au utekaji wa wasiojulikana na dola ni yaleyale!!
Binafsi nahisi hao ni wale wale, tofauti unayoiona inatokana na kinachopelekea mtu kutekwa na baada ya kukuteka wakuache au wakupoteze
 
Back
Top Bottom