Najenga chemba nzuri za kisasa kwa bei rafiki

Hapa sijaelewa emu tupe maelezo hiki ni nini? Hii Chemba km sijaielewa
Asante sana mkuu kwa swali lako.
Hii nimeijenga kulingana na fundi bomba alivyoweka hizo bomba zake.
Hapo ukianglia hilo bomba kubwa ni la kutoka chooni, na hilo dogo ni bomba la maji ya kunawa, kwa pembeni yake hapo ndipo zinakutana zote. Sijajua kama umeelewa,
Au angalia hii video yake uelewe zaidi.
 

Ungeweka package nzima hadi shimo kubwa la majitaka. Mara nyingi watu wanachukua kazi yote.
Hilo ni shimo la kuhifadhi maji ya mvua.
Nilijenga Kinyerezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…