Kama Simba Sc itafuzu kwenda nusu Fainali hapo Ijumaa basi mimi kwa utashi wangu mwenyewe nitaenda mitaa ya msimbazi kukabidhi kadi yangu ya YANGA (klabu yangu pendwa)na kuchukua rasmi kadi ya SIMBA SC.
1.Nitahakikisha nalipa Ada yangu ya uanachama kwa uaminifu mkubwa mno
2.Nitachangia mapato ya timu kwa kununua jezi za Mashindano yote at once.
3.Nitaungana na wanasimba wote kutangaza bidhaa za Mo bure kabisa (kama wafanyavyavyo sasa).
Mpira una matokeo matatu lakini kwa namna waarabu walivyokamia najua siwez kuhamia kwa timu robo fainal hata kidogo.
WAHED.
Inashangaza sanaWanaYanga wanahangaika zaidi na Simba kulivyo wanavyohangaika na Utopolo wao.
Sisi hatukutaki. Na tutaamua tufungwe ili usije. Unataka uje kuwa mmoja wa wenye akili? Kwa sababu Yanga wenye akili ni wawili tu. Kikwete na Manara SnR.
Eti tutaamua kufungwa?🤣🤣🤣🤣WanaYanga wanahangaika zaidi na Simba kulivyo wanavyohangaika na Utopolo wao.
Sisi hatukutaki. Na tutaamua tufungwe ili usije. Unataka uje kuwa mmoja wa wenye akili? Kwa sababu Yanga wenye akili ni wawili tu. Kikwete na Manara SnR.
Ebu tupostie kadi ya Yanga hapa hapa jfKama Simba Sc itafuzu kwenda nusu Fainali hapo Ijumaa basi mimi kwa utashi wangu mwenyewe nitaenda mitaa ya msimbazi kukabidhi kadi yangu ya YANGA (klabu yangu pendwa)na kuchukua rasmi kadi ya SIMBA SC.
1. Nitahakikisha nalipa Ada yangu ya uanachama kwa uaminifu mkubwa mno
2. Nitachangia mapato ya timu kwa kununua jezi za Mashindano yote at once.
3. Nitaungana na wanasimba wote kutangaza bidhaa za Mo bure kabisa (kama wafanyavyavyo sasa).
Mpira una matokeo matatu lakini kwa namna waarabu walivyokamia najua siwezi kuhamia kwa timu robo fainal hata kidogo.
WAHED.
Kama Simba Sc itafuzu kwenda nusu Fainali hapo Ijumaa basi mimi kwa utashi wangu mwenyewe nitaenda mitaa ya msimbazi kukabidhi kadi yangu ya YANGA (klabu yangu pendwa)na kuchukua rasmi kadi ya SIMBA SC.
1. Nitahakikisha nalipa Ada yangu ya uanachama kwa uaminifu mkubwa mno
2. Nitachangia mapato ya timu kwa kununua jezi za Mashindano yote at once.
3. Nitaungana na wanasimba wote kutangaza bidhaa za Mo bure kabisa (kama wafanyavyavyo sasa).
Mpira una matokeo matatu lakini kwa namna waarabu walivyokamia najua siwezi kuhamia kwa timu robo fainal hata kidogo.
WAHED.
Huu uzi siyo wa watu wenye IQ ndogo kama wewe.
Thubutu.Hawa ni wale waliovimbiwa mihogo na kumbeba msomali wao kwenye machela kama Carl Peters. Ukisikia gongowazi ndio hao.Ebu tupostie kadi ya Yanga hapa hapa jf
Tuliza kichwa mzee..Dah! Taifa linaenda kuaibika hivi hivi siku ya Jumamosi. Yaani bora hata wangegomea tu hiyo mechi.
Kavimbiwa mihogo huyo.Tarehe hata hawaijui.Wana taarifa zao wenyewe gongowazi.Tuliza kichwa mzee..
Kwanza ni Jmos au ijumaa? Kwanza mechi ni saa ngapi nyie ndo mna taarifa kuliko sisi
Siyo kw wale jamaa mzeeWanayanga kuweni na akiba ya maneno. Football ina maajabu yake jaman. Simba anaweza kuning'inia kwenye bomba hadi 90min mechi ikaisha 0-0 au 1-1 au 2-1.
Mkainamisha vichwa kwa aibu. Mnakumbuka yanga tulivoenda na matokeo mfukoni kwenye derby. Tulirudi tumelowa.
Mnakumbuka kisanga cha kolo vs Jwaneng Galaxy? Mpaka dakika ya 45 ubao unasoma 3-0 aggregate. Meza ikapinduliwa, kukawa na vilio kila kona? Ebu tuupeni heshima football.