Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

Ngoja tusome nae namba kwanza manake haya matatizo wametuponza wenyewe. Acha atie akili
Umeonaa eenh! Alijitoa akili mwenyewe.... akijua atalipwa kwa cheo... kaona kimya ameamua kulia lia na cha kushangaza bado kaachwa hewani bila malipo...
 
Please remind me why do I love you?
Afu movies alhamis ndio real deal, buku 5 tu. Friday ni 12,000/- labda Paw atupe ofa.

umemaliza. Urembo uko ndani.
 
Naungana na waliokushauri ukapime damu na pili nenda mbele za Mungu anaponya na utashangaa. Kama ni ugonjwa toka kwa mwanadamu ukiamini utapona haraka sana.
 
Please remind me why do I love you?
Afu movies alhamis ndio real deal, buku 5 tu. Friday ni 12,000/- labda Paw atupe ofa.

umemaliza. Urembo uko ndani.
hihihihi nipeleke movie jumapili na ijumaa,na kakikombe ka smooch please!
Paw mwenyewe ana mikurabita na mishirikuta tukimsubiri litatuchwea nyonyo!
 
una aleji ww,ukitaka mwanaume aje usimtege deal na tabia yako nafanya mambo ya msingi hlf ridhika na hali yako watakuja automatic
 
Kuokoka ni muhimu lakini ni uchanga wa kiroho,udini na upotoshaji kusema waliookoka wanapatikana kwenye baadhi ya madhehebu machache kama hayo uliyoyataja,Mungu hana mipaka ya kidhehebu pole.
Ni kweli usemayo ndugu na katika aya ya mwisho mwenyewe kapingana na hizo aya zake za mwanzo.
 
Nakubaliana na kila anayesema uzuri upo ndani kwa mhusika na siyo ngozi, kuanzia snowhite mpaka king'asti wameongea vyema.

Nilimpenda binti yeye uso wake una kama vipele na makovu ya hapa na pale aliniambia ana fangasi ndiyo zinamsumbua, kuna kipindi ikifika hizo fangasi zinamtambaa mpaka kwenye nyayo anatumia dawa kwa muda fulani anakua poa ila za usoni tu hazijamtoka kabisa.

Kila mtu alishika njia yake siyo kwa sababu ya uzuri la, ila amenizidi miaka 8 kwahiyo alikua ananiona sina future naye wakati yeye umri unaenda na huku dini zetu zipo tofauti.

Jana nimekutana naye tukiwa tunafuatilia transcript bado namuona mzuri vile vile, naamini hata wewe kuna anayekuona mzuri unachotakiwa kufanya ni kubadilisha attutude yako tu mengine yatafuata mkondo.
 

 
Hayo makovu yapo hadi usoni?Pole ndugu jaribu kwenda kwa madr. wa ngozi.
 
Huwa sometimes wanasema "Less is better"

jaribu kutotumia kitu chochote kwenye ngozi (mafuta/lotion) kwa muda kama wiki tatu halafu tuone kama itakusaidia

Kwa kiasi fulani hata mimi imenisaidia kupunguza makovu. ila nikianza tu kutumia mafuta au sabuni zenye marashi, pimples zinaanza tena
 
Watumishi mna mambo...... huyu dada umesoma tatizo lake unamwambia aamue kuokoka then unamwambia tena Usiende kuokoka kama unakwenda kujaribu utapona au la! Sasa nini kimekufanya umwambie aokoke?
 
Kipindi niko mdogo niliumwaga tetekuwanga( huu ugonjwa ukipona unabaki na mabaka mabaka mwili mzima kama fisi), nakumbuka baada ya kupona bimdashi alikua anatumia kiazi mbatata anakisugulia kwenye madoa na yalipotea yote kabla hata mwezi mmoja kuisha. Jaribu na wewe kutumia labda inaweza kukusaidia pia
 
Kuna vyakula vya asili na viungo vya asili unaweza kupaka au kula vitakusaidia sana , viungo kama vitunguu swaumu , mafuta ya nazi, nk nicheck pm ntakupa ushauri nini utumie kwa tatizo lako na vyakula kama nyama kama unaweza acha kabisa, soda acha nk jitahid maji mengi unywe ni tiba sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…