Malumbo wa ngullo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 3,246
- 11,011
"..Simple sana kuwa tu Mgomvi.."Habari bandugu naomba mnipatie altenatives ya kuufanya uso wangu uwe mgumu maana mimi ni mwanaume sipendi kuona uso wangu kuwa mlaini.shemeji/wifi yenu hupenda kunishikashika uso akisema anaupenda sababu mlaini sana,hata x girls wa nyuma walikuw wakisema uso wangu mlaini stil friends wanafunguka same ishu binafsi nikijgusa nakubali kama ya mtoto mchanga wakati nina 28 yrs now.ofcoz brothers and sisters mi binafsi nachukia sana hali hii,natumia futa la mgando tu na wala sijawai kufany scrubbing.hivyo doctors naombeni mnisaidie nifanye nini ili nipate uso mgumu mimi mtoto wa kiume sipendi hali hii kabisa.
Ndugu sio vizuri kudharau kazi za watu. Ebu jiulize tu, bila huyo muuza mkaa ungekula vilivyoiva? Make 98% ya Umma wa Watz wanatumia mkaa.Anza biashara ya kuuza mkaaa miez miwil
Nashukuru kama umetambua maumiv yanguChangamoto zA sura laini na uso bebi face;
Ukipewa kazi field, watu wazima wanaweza kuku puuza wakidhani tineja au mtoto asiyejua maisha. Si rahisi waje kukuomba ushauri.
Unaweza kua mkubwa ukashuhudia mdogo wako akipewa shikamoo na wewe ukiambiwa mambo.
Kuna kazi ukiomba si rahisi kuaminika. Wanakuona bado tender age.
Unakosa kuaminika hata kwa mambo madogo. Mbele zA watu. Kwa kuonekana hujakomaa.
Ukifanya utani kwa watu ni rahisi watu kukuita mtoto.
Ni rahisi watu kuamini kua huna nguvu. Wewe ni legelege.
Ni rahisi watu kudhani unajipodoa kama mwanamke.
Kimsingi kwenye jamii Unakua haukui mbele yao.
Kama jamaa anatafuta sura ngumu kwasababu kama hizi basi Ana haki hiyo.... Acha atafute tu ili heshima irudi...[emoji2]
Respect to you mkuuNashukuru kama umetambua maumiv yangu
Kanywe ulevi wa kienyeji halafu kafanye kazi ya kuuza mitumba kariakoo. Na uso wako ukishapayuka kama dingi wa miaka 50 wakati ukiwa na miaka 30 leta mrejesho. pumbavu kabisaHabari bandugu naomba mnipatie altenatives ya kuufanya uso wangu uwe mgumu maana mimi ni mwanaume sipendi kuona uso wangu kuwa mlaini.shemeji/wifi yenu hupenda kunishikashika uso akisema anaupenda sababu mlaini sana,hata x girls wa nyuma walikuw wakisema uso wangu mlaini stil friends wanafunguka same ishu binafsi nikijgusa nakubali kama ya mtoto mchanga wakati nina 28 yrs now.ofcoz brothers and sisters mi binafsi nachukia sana hali hii,natumia futa la mgando tu na wala sijawai kufany scrubbing.hivyo doctors naombeni mnisaidie nifanye nini ili nipate uso mgumu mimi mtoto wa kiume sipendi hali hii kabisa.
Weka pichaHabari bandugu naomba mnipatie altenatives ya kuufanya uso wangu uwe mgumu maana mimi ni mwanaume sipendi kuona uso wangu kuwa mlaini.shemeji/wifi yenu hupenda kunishikashika uso akisema anaupenda sababu mlaini sana,hata x girls wa nyuma walikuw wakisema uso wangu mlaini stil friends wanafunguka same ishu binafsi nikijgusa nakubali kama ya mtoto mchanga wakati nina 28 yrs now.ofcoz brothers and sisters mi binafsi nachukia sana hali hii,natumia futa la mgando tu na wala sijawai kufany scrubbing.hivyo doctors naombeni mnisaidie nifanye nini ili nipate uso mgumu mimi mtoto wa kiume sipendi hali hii kabisa.
Habari bandugu naomba mnipatie altenatives ya kuufanya uso wangu uwe mgumu maana mimi ni mwanaume sipendi kuona uso wangu kuwa mlaini.shemeji/wifi yenu hupenda kunishikashika uso akisema anaupenda sababu mlaini sana,hata x girls wa nyuma walikuw wakisema uso wangu mlaini stil friends wanafunguka same ishu binafsi nikijgusa nakubali kama ya mtoto mchanga wakati nina 28 yrs now.ofcoz brothers and sisters mi binafsi nachukia sana hali hii,natumia futa la mgando tu na wala sijawai kufany scrubbing.hivyo doctors naombeni mnisaidie nifanye nini ili nipate uso mgumu mimi mtoto wa kiume sipendi hali hii kabisa.