Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Heshima sana wanajamvi,
Leo nimeamua kujigaragaza mavumbini na baadae kwenye matope,mchanga,maporini kwasababu Rais wangu kipenzi anapiga mzigo wa viwango vya juu sana.
Nampongeza Rais wangu hali ya usalama wa Raia imeimarika sana,mambo ya kutekana kubambikiana kesi na ujinga ujinga umekwisha na kumalizika kabisa.Yule Mzee Kibao asitake sifa aliamua kujiua mwenyewe hana maana alitaka kuchafua taswira ya jeshi letu bora la polisi.
Nampongeza Rais amejenga madarasa,matundu ya choo,barabara kwa fedha zake binasfi ambao hawaoni ni majuha na wapumbavu vikodi vyenu vya kuunga unga si lolote si chochote Mama anaupiga nwingi ni lazima nigaregare mavumbini na ikibidi matopeni hakuna nanmna nani kama mama.
Nampongeza Rais kazuia maanamano yasiyo na maana kwani wapinzania wakifa kuna shida gani kwanini nani ambaye hatakufa?
Ngongo kwasasa London.
Leo nimeamua kujigaragaza mavumbini na baadae kwenye matope,mchanga,maporini kwasababu Rais wangu kipenzi anapiga mzigo wa viwango vya juu sana.
Nampongeza Rais wangu hali ya usalama wa Raia imeimarika sana,mambo ya kutekana kubambikiana kesi na ujinga ujinga umekwisha na kumalizika kabisa.Yule Mzee Kibao asitake sifa aliamua kujiua mwenyewe hana maana alitaka kuchafua taswira ya jeshi letu bora la polisi.
Nampongeza Rais amejenga madarasa,matundu ya choo,barabara kwa fedha zake binasfi ambao hawaoni ni majuha na wapumbavu vikodi vyenu vya kuunga unga si lolote si chochote Mama anaupiga nwingi ni lazima nigaregare mavumbini na ikibidi matopeni hakuna nanmna nani kama mama.
Nampongeza Rais kazuia maanamano yasiyo na maana kwani wapinzania wakifa kuna shida gani kwanini nani ambaye hatakufa?
Ngongo kwasasa London.