H Howt Lady JF-Expert Member Joined Jul 15, 2013 Posts 1,518 Reaction score 471 Jun 3, 2014 #21 Super Handsome said: Waxing ndio kiboko ya yote hayo..unapiga ile kitu unakaa miezi miwili hadi mitatu ndio zinaanza kuchipua! achana na topaz! Click to expand... Hii Kali mkuu miezi miwili mpaka mitatu hakioti kitu nabado unapumua tu?.pole zenu
Super Handsome said: Waxing ndio kiboko ya yote hayo..unapiga ile kitu unakaa miezi miwili hadi mitatu ndio zinaanza kuchipua! achana na topaz! Click to expand... Hii Kali mkuu miezi miwili mpaka mitatu hakioti kitu nabado unapumua tu?.pole zenu
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,496 Jun 4, 2014 #22 gorgeousmimi said: Ndio inafaa! Click to expand... Okay asante sana mama
N Ndan ya box Senior Member Joined Jun 2, 2014 Posts 159 Reaction score 44 Jun 4, 2014 #23 nyoa kipara kabisa harafu ukishatoa paka mafuta ya mgando meng sehem zote ulizonyoa kila unapoenda kuoga kisha mwagia poda ile ya watoto baada ya kupaka mafuta fanya hivyo kila unapoenda kuoga ni siku 2 tu then unakuwa poa hakuna muwasho
nyoa kipara kabisa harafu ukishatoa paka mafuta ya mgando meng sehem zote ulizonyoa kila unapoenda kuoga kisha mwagia poda ile ya watoto baada ya kupaka mafuta fanya hivyo kila unapoenda kuoga ni siku 2 tu then unakuwa poa hakuna muwasho
KAFA.cOm JF-Expert Member Joined Jun 22, 2013 Posts 1,301 Reaction score 739 Jun 4, 2014 #24 paka ----- dawa ya moto ni moto