Ajira hamna vijana wanadata serikali ichukue hatua za harakaVituko hivi
We ndo huba ajiraAjira hamna vijana wadata serikali ichukue hatua za haraka
Msome na wa hapo chiniMtafute mueleze ukweli huenda atakuelewa. Jali Moyo wako kwanza..
Mnanichanganya huyo juu kasema hivi wewe hiviNakusihi zingatia huu ushauri nduguyangu.
We umejiunga juzi kijana humu sio FBWe ndo huba ajira
Natumia JF toke 2015 hii sio id yangu maarufu sababu nataka kuwa usiri na nisijulikane kwani kunawatu ni marafiki humu na wengine nafanya nao biasharaWe umejiunga juzi kijana humu sio FB
Nakusihi ingatia huu ushauri nduguyangu.Kata kabisa mazoea naye, ukipita mwezi na yeye hajakutafuta basi focus na mambo mengine kiongozi
Huyo binti hakupendi sema ww unaendeshwa na hisia zako hapa naona hata ushauri huwezi kuuelewa.Msome na wa hapo chini
Mnanichanganya huyo juu kasema hivi wewe hivi
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Nyie watu ๐Unamzidi mara 4 kipato chake kwa kubet au?
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Hatari sana ๐Uchumi gani huo ambao umemzidi mara 4?
๐ KumekuchaKama hujawahi kumbandua kaza/jipendekeze hadi umkaze
Ndio ninachotaka nafikiri baada ya hapo nitakuwa na unafuu
Nilikuwa sijasoma id yako vizuri nilitumia dip tu ila unaonekana wa mchongoMwanangu sana Evelyn Salt akija atamuuliza huyu Zombie Sikutaji Humu Eeh alipo
Ulisema wewe ni wa kitambo ila hii id unatumia kupata ushauri?Nilikuwa sijasoma id yako vizuri nilitumia dip tu ila unaonekana wa mchongo
๐ LightyshMbaya zaidi sijawahi kumbandua ๐ฎโ๐จ