Naitaka Nifah,naitaka mpendwa Nifah wangu wa The BoldKwahiyo hata heri ya kuzaliwa kwa maneno hutaki mama? [emoji86]
Ahsante ISIS nashukuru sanaHappy birthday! Tuko pamoja!
Duh!!!nishalisahau hilo jina iseee. Karibu Karibu,furahia siku yako. Mimi ikifikaga ya kwangu huwa Nina furahi mno siku hiyo. So enjoy itAhsante sana Kan'tangaze oooops nimesahau kumbe sasa ni Maserati, hahahaha nashukuru sana ndugu yangu
Hongera Chikara, zawadi ya thamaki utapokea eti!!!!Japo wengine wanasema tusifurahi birthday kwa kuwa ndio siku za kuishi zinazidi kupungua, hahahahahaha
hhahaahahahh, bucho, ahsante naisubiria huko huko hahahahaahahahHongera sana mrembo wetu kwa kuongea miaka mwingine .... nadhani zawadi zako utazikuta lile jukwaa letu la chini kabisa...😀😀
Ahsante QUIGLEY nitaipokea hata picha yake tu ninapata ile makisimamu satisifakisheni, hahahahahahahahahahHongera Chikara, zawadi ya thamaki utapokea eti!!!!
Ahsante Shunie , kwa jina la Yesu aliye juu na mkuu kuliko wotehappy birthday to u chikira Yesu azidi kukutunza uishi miaka mingiiiii
Ahsante kwa kunijaliAhhh......
Mina wewe tena.....[emoji5] [emoji5] [emoji5]
Wala usiwaze
Ahsante sana Petro E. Mselewa, Mwanasheria nguli ninayekuzimikia bureee, ahsante sanaHappy birthday CM!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ahsante QUIGLEY nitaipokea hata picha yake tu ninapata ile makisimamu satisifakisheni, hahahahahahahahahah
Ahsante sana salim kimosa kumbe wote ni nyota ya "ng'ombe"happy born day mrembo, nadhani tumezaliwa mwezi mmoja yangu tarehe 15/5, Mungu akujalie ufike miaka 1000
hahahahaahahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Una akili nyingi wewe, umenisoma ninacho maanisha
Njoo kuleAhsante sana Petro E. Mselewa, Mwanasheria nguli ninayekuzimikia bureee, ahsante sana
hayaNjoo kule
Ahsante sana Deo Mrema nashukuruHongera kwako Chikira Mtabari
Ameen dear [emoji120]Ahsante Shunie , kwa jina la Yesu aliye juu na mkuu kuliko wote