Najipongeza kwa kuadhimisha siku ya kuzaliwa leo

Wana JF mpogo!

Leo naadhimisha siku ya kuzaliwa, 11/5.

Naomba muungane nami katika siku hii ya leo.

Nakaribisha zawadi mbali mbali za pongezi

I prefer pesa to maua/kadi

Happy Birthday sana Mkuu ILA kumbuka tu AIDS KILLS. Kila la kheri!
 
Happy birthday Chikira,Mungu akupe maisha marefu mama,na pesa pia hahahaaaa.
[emoji512] [emoji323] [emoji322]
hahahahahah, ahsante Nifah, na mie nimemuiga Miss Chagga kupenda pesa, hahahahahah
 
Happy Birthday sana Mkuu ILA kumbuka tu AIDS KILLS. Kila la kheri!
Ahsante sana Mkuu GENTAMYCINE, pia nakushukuru kwa kunijali ila sina mpango wa kutumia "NDOM" acha iniue tu potelea mbali, hahahahahahah
 
Happy Birthday mkuu
Mungu akupe umri mrefu wenye mafanikio na rehma nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…