Najishughulisha na biashara ya mchele kutoka Ifakara kwenda Dar, mwenye uhitaji anitafute

Najishughulisha na biashara ya mchele kutoka Ifakara kwenda Dar, mwenye uhitaji anitafute

Mtewele isaya

Member
Joined
Jan 3, 2024
Posts
13
Reaction score
10
Naitwa isaya mtewele kwa sasa napatikana ifakara najishughulisha nakupoint mchele kutoka hapa ifakara kwenda dar kwa mwenye uhitaji anaweza nicheki kwa namba 0719003163
 
Naitwa isaya mtewele kwa sasa napatikana ifakara najishughulisha nakupoint mchele kutoka hapa ifakara kwenda dar kwa mwenye uhitaji anaweza nicheki kwa namba 0719003163

Naitwa isaya mtewele kwa sasa napatikana ifakara najishughulisha nakupoint mchele kutoka hapa ifakara kwenda dar kwa mwenye uhitaji anaweza nicheki kwa namba 0719003163
Kilo moja bei gani
 
Sema na idadi ya kilo unazoanza kuuza Mkuu, unaweza ukapigiwa simu na mtu yupo Dar anataka kilo 2 za mchele, watu vichwa nimepata moto na hii hali ya maisha kukaza 'Kizimkazi Mporomoko Uchumi Doro'

Uje DM unieleze zinanifikiaje kilo 50 mimi mkazi wa mkuranga, na gharama yake ikoje ukijumlisha na usafiri ili nipime unafuu uko wapi kati yako na jirani yangu Muha muuza duka.
 
Nipo Idandu huku mbele ya Miwangani. Namalizia kupiga mpunga wangu. Baada ya kupiga tu nitauleta hapo Viwanja 60 kuukoboa ili nipate hela chap.
 
Kaka kuanzia kilo 100
Sema na idadi ya kilo unazoanza kuuza Mkuu, unaweza ukapigiwa simu na mtu yupo Dar anataka kilo 2 za mchele, watu vichwa nimepata moto na hii hali ya maisha kukaza 'Kizimkazi Mporomoko Uchumi Doro'

Uje DM unieleze zinanifikiaje kilo 50 mimi mkazi wa mkuranga, na gharama yake ikoje ukijumlisha na usafiri ili nipime unafuu uko wapi kati yako na jirani yangu Muha muuza duka.
 
Back
Top Bottom