Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Hiyo ni hiyari yako hata ukijiita msomali mtutuki yote ni wewe tu.Jana, katika pita pita yangu mitandaoni, nimekutana na clip yenye tafsiri ya neno Tanganyika.
Tanganyika ni neno la Kichapu likimaanisha nchi yenye rutuba.
Kwa uelewa wangu, rutuba inaashiria ustawi.
Unajua maneno yanaumba? Ni kipindi gani nchi ilikuwa na ustawi, ilipokuwa ikiitwa Tanganyika au baada ya jina jipya, Tanzania?
Linganisha ujenzi wa reli ya Kati miaka hiyo na ya SGR miaka ya sasa! Unajua, ingawa miaka hiyo teknolojia haikuwa juu kama ilivyo sasa lakini ujenzi wa reli haukuchukua muda mrefu kama wa SGR?
Yumkini kulikuwa na agenda ya siri iliyopelekea maadui wa Tanganyika kutaka kuitokemeza kwa jina mbadala, Tanzania.
Japo nilijiita Mtanzania muda mrefu, lakini nimegundua mimi ni Mtanganyika. Na ninapojiita Mtanganyika, ninajisikia huru zaidi.
Msiniite Mtanzania, hilo ni jina bandia. Mimi ni Mtanganyika. Tanganyika ndilo jina halisi la nchi yangu.
Hata wasiponiita Mtanganyika, mimi nitaendelea kujitambua kuwa ni Mtanganyika.
Mimi ni Mtanganyika, raia wa nchi ya ustawi.
I dont feel anything about Tanganyika wala TanzaniaJana, katika pita pita yangu mitandaoni, nimekutana na clip yenye tafsiri ya neno Tanganyika.
Tanganyika ni neno la Kichapu likimaanisha nchi yenye rutuba.
Kwa uelewa wangu, rutuba inaashiria ustawi.
Unajua maneno yanaumba? Ni kipindi gani nchi ilikuwa na ustawi, ilipokuwa ikiitwa Tanganyika au baada ya jina jipya, Tanzania?
Linganisha ujenzi wa reli ya Kati miaka hiyo na ya SGR miaka ya sasa! Unajua, ingawa miaka hiyo teknolojia haikuwa juu kama ilivyo sasa lakini ujenzi wa reli haukuchukua muda mrefu kama wa SGR?
Yumkini kulikuwa na agenda ya siri iliyopelekea maadui wa Tanganyika kutaka kuitokemeza kwa jina mbadala, Tanzania.
Japo nilijiita Mtanzania muda mrefu, lakini nimegundua mimi ni Mtanganyika. Na ninapojiita Mtanganyika, ninajisikia huru zaidi.
Msiniite Mtanzania, hilo ni jina bandia. Mimi ni Mtanganyika. Tanganyika ndilo jina halisi la nchi yangu.
Hata wasiponiita Mtanganyika, mimi nitaendelea kujitambua kuwa ni Mtanganyika.
Mimi ni Mtanganyika, raia wa nchi ya ustawi.
Sureπππ
Sijiiti tu Mtanganyika bali najua mimi ni Mtanganyika, raia wa ardhi iliyobarikiwa.Hiyo ni hiyari yako hata ukijiita msomali mtutuki yote ni wewe tu.
Zanzibar Haina ubavu wa kuitapeli Tanganyika. Yote ambayo Tanganyika inakumbana nayo ni matokeo ya tamaa ya watu wachache wanaonufaika na huu Muungano batili.tanganyika ilitapeliwa na znz lia lia
Umbea wa chinichini ni kuwa ni wachawi ndiyo walioliinjinia hilo. Hata jina la Tanzania, kuna wanaodai kuwa majini yalishiriki kulitunga.nimezaliwa mtanzania siijui Tanganyika.
tukiachana na tishio la kuogopa Zanzibar kupinduliwa tena na mwaarabu mpaka kuzaa muungano wa mchongo,ni kwanini Nyerere alikubali kuifuta Tanganyika?
Kuwanyima? Kwa Katiba ipi? Hujui kuwa Zanzibar ndiyo inayoitawala Tanganyika?Wazanzibari ni wabaguzi,tunapaswa kuwanyima baadhi ya haki za Tanganyika
Sio rahisi. Mifumo yote ya computer inaitambua 255 kama Tanzania.Tanganyika irudi,Tanzania imejaa laana.
Tuidai kwa nguvu zoteTanganyika yetu irudi
Hata kwa kuandamana kama italazimu.Tuidai kwa nguvu zote