Sifa za mdada nimtakaye:
= awe ana umri wa 29 backwards
afrodenzi-nimesema mwenye upend ambaoo sio biased, that is wat i meant!
Sasa wewe muoaji mbona hujisemi ukoje tabia yako...?
Sharobaro au sharo...?
mnywaji lakini au mlevi...?
mcheshi japo sura ngumu...?
unagari..?
una nyumba..?
unamkopo ambao haujaumaliza..?
una elimu gani..?
kimo chako vip..? (haijalishi saana)
rangi yako je? mweupe au mweusi?
ukiwa na sifa zinazoridhisha nitakupa dada angu yuko huku humu JF
Nachotaka kukwambia ni kwamba...hata wanawake wanauhuru wa kuchagua sio wewe uwawekee vigezo na wakati vya kwako hujaweka... BE SERIOUS meeen..!
kakaJ anataka kuoa...!!!!! so ni hewewe ni mwanaume au mwanamke?
Sasa wewe muoaji mbona hujisemi ukoje tabia yako...?
Sharobaro au sharo...?
mnywaji lakini au mlevi...?
mcheshi japo sura ngumu...?
unagari..?
una nyumba..?
unamkopo ambao haujaumaliza..?
una elimu gani..?
kimo chako vip..? (haijalishi saana)
rangi yako je? mweupe au mweusi?
ukiwa na sifa zinazoridhisha nitakupa dada angu yuko huku humu JF
Nachotaka kukwambia ni kwamba...hata wanawake wanauhuru wa kuchagua sio wewe uwawekee vigezo na wakati vya kwako hujaweka... BE SERIOUS meeen..!
Aminia Ma jery, mbona unaogopa si amesema um PM.ni pm niko ful viwango
nani kkuruhusu kuchangia hapa🙂haya bana
sante kwa kunielewesha...