Najisikia kuoa huku JF

kila la heri. lkn kwa nini JF? manake hiyo title ya threat nilitegemea utatoa sifa ambazo umeziona huku ambazo zimekufanya kuamini kuwa utapata mke umtakaye huku JF
 
miaka 30!?? Si kijeba kabisa ww.sasa mitaani kote uko wamekukataa ndo unataka kutokea umu jf,ebu weka picha yako bas tuone sura yako km ina nuru au irregular shape..kwa gia iyo ya kuoa ukienda facebook utawapata wengi sana,mi mwenzio adi niliwakmbia.umu bwn wanabana kinoma...ila jaribu!!
 
unavoongea tu unaonekana sharobaro.
 
nenda face book ndo kuna mambo hayo,hapa ni kwa great thnkr,sahau kupata mchuchu humu.hapa unapata maushauri tu,no malavidav,no ngwanju,kama uko sros unatafuta kaajinge na kwaya kanisan kwen itakuwa easy sana kupata mchumba
 
nenda face book ndo kuna mambo hayo,hapa ni kwa great thnkr,sahau kupata mchuchu humu.hapa unapata maushauri tu,no malavidav,no ngwanju,kama uko sros unatafuta kaajinge na kwaya kanisan kwen itakuwa easy sana kupata mchumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…