Dadangu nadhani ushakomaa na naamin tayar una ngozi ya ukomavu.I second you alafu unakutaa na wanaume wanashabikiaa mwanaume mwenzao kusemaa yaan wanaume wa jf jaman nimewashindwaaa .....
Unataka kuniteka?Really?? Nakuja pm
Umenisusa!Nakuona MOTP mwenyewe
Hasante!Umeumia sana eeeh
Wala sina interest na mamodo wala wenye rangi ya jamaa
Nimezoea black mamba.
Na ni kufurahisha genge tu.
Hasa baada ya binti yangu kugusia jamaa alivyoweka mdomo wake.
Pole sana.
Hapana, mtu yeyote aliesoma vizuri mpaka darasa la saba anaweza kuona hayo makosa!We nka ticher ka HGK nini[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Huonekani tatizo lako,sijui wafichwa wapi kwakweliUmenisusa!
[emoji35] [emoji35]
Nimejaa tele kama pishi la mchele!Huonekani tatizo lako,sijui wafichwa wapi kwakweli
Nafurahi kukuona kamanda T[emoji4][emoji4]Nimejaa tele kama pishi la mchele!
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Nafurahi kukuona kamanda T[emoji4][emoji4]
Na kwako pia[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Poa, jioni njema!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji379][emoji379][emoji379]mungu anakuonaaIli utambulisho ukamilike ongeza picha 4..mbili za mwili mzima mbili za nusu kiwiliwili
Atakua wa mbeya hyotatizo hujasema umetokea wapi
[emoji23][emoji23][emoji23]tangia 2015
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ili tuone kama ana kitambi tumrudishe facebook au badoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji379][emoji379][emoji379]mungu anakuonaa
[emoji23][emoji23][emoji23]ludi = rudi
mahara = mahala.
Itakua vizuri kama atakuchukua na wewe ili mrudi wote Facebook!
Umetaja nn iko.mwishon?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ili tuone kama ana kitambi tumrudishe facebook au badoo
BadooUmetaja nn iko.mwishon?