🤣Una miaka mingapi? na namba yako ya NIDA?
Kwa nini Mkuu? 😀Ukishaizoea jamii forum utaikimbia hii Id ufungue mpya
Nakaa pale
Haijui jf vizuri waliokuja hivi wote walipotea!! Kuonyesha sura yako jf ni kosa la jinai, Kule kwenye selfika wanaonyesha kucha tu na juisiKwa nini Mkuu? 😀
Mbona unamtisha mgeni sa.
Hahahaaa! Lol.Haijui jf vizuri waliokuja hivi wote walipotea!! Kuonyesha sura yako jf ni kosa la jinai, Kule kwenye selfika wanaonyesha kucha tu na juisi
We jamaa kwahio ni kucha na juisi🤣🤣Haijui jf vizuri waliokuja hivi wote walipotea!! Kuonyesha sura yako jf ni kosa la jinai, Kule kwenye selfika wanaonyesha kucha tu na juisi
mpwayungu village njoo ukaribishe mgeniNaitwa Shabani Waziri Mnkai, naomba mnipokee.
Ni Mwalimu wa lugha ya Kingereza pamoja na Mwanasaikolojia.
Naishi Dodoma, Nala, Tanzania.
View attachment 2514763
View attachment 2514768