Elections 2010 Najitokeza kugombea Ubunge jimbo la Mafia 2010

Elections 2010 Najitokeza kugombea Ubunge jimbo la Mafia 2010

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2009
Posts
2,653
Reaction score
266
Jina langu. MzeewaHhoja
Elimu yangu. Inatosha kupitishwa.
Kadi yangu. nishailipia kama kijana
itikadi yangu. maendeleo
Chama Changu. C

Nilitembelea kisiwani Mfia hivi karibuni. Nilianzia Dar hadi Nyamisat na Kushuka Bandari ya hatari ilipo kilindoni. ni sfari yenye machofu ktk karne hii ya sayansi na teknlojia. ni safari ya kuliwa na Mbu na ya kucheza na maisha.
ni safari iliojaa hatari hasa baada ya usafiri wa huko kutumia vijdau viduchu huku vikiondoka usiku wa manane huku vikjaa watoto wa Changa
nilitembelea utende huku mvua ikinyesha njia ilijaa matope na huku gari ikikwama kila wakati.
niiltembelea Kirongwe na huko magari hayapiti isipokuwa muyabebe .ni njia ilojaa matope.
nilitembelea Jimbo, mlali, Banja, jojo, Kifinge, Baleni na Ngome ambapo naamini Mbunge Hajafika huko kote nikitizama maendeleo na sio kupiga kampeni. huko kote wakulima wanaytumia vijembe vya mkono na hakuan tireketa katika kipindi hichi cha Kilimo KWANZA.
Nilitembelea skuli sekondAr ya Kirongwe na Kitomondo kwa kweli hamna walimu hasa wa masomo ya Sayansi na kwakweli wansoma kwa shida Huku wakitumia Vibatari.
Nishati ya umeme ni ya kubahatisha na kijisehemu tu ndicho chenye kupata huduma hiyo ya shida ktk kisiwa cha Kilndoni. Kuhsu mabomba ya maji hayo usiseme. hakuna maji salama na hakuna mpangowa kuwapatia, l Kirongwe wala baleni au Dongo kama wnaweza kupata huduam hii kwa 200 ijayo
Kuhusu uvuvi mhe, mzee hapo tena wananchi wanafukuzwa kama punda na wawekezaji a. kuhus bandari mzee usiseme. Wnajengewa uwanja wa ndege kwa ajili ya mafisadi wenda kuchukua raslimani
za watu wa huko. wananchi wanalalama mbunge kahamia DAR jIJI LA MARAHA
Najitokeza kugombea Ubunge kwa Chama Cha C , nitampinga mbunge wa sasa na naamini kwa kisiwa kivyokuwa nitapata kwa 90%. nitakuwa mtu safi na nitakiimarisha kisiwa kukitoa kwenye giza lilopo
 
Jina langu. MzeewaHhoja
Elimu yangu. Inatosha kupitishwa.
Kadi yangu. nishailipia kama kijana
itikadi yangu. maendeleo
Chama Changu. C

Nilitembelea kisiwani Mfia hivi karibuni. Nilianzia Dar hadi Nyamisat na Kushuka Bandari ya hatari ilipo kilindoni. ni sfari yenye machofu ktk karne hii ya sayansi na teknlojia. ni safari ya kuliwa na Mbu na ya kucheza na maisha.
ni safari iliojaa hatari hasa baada ya usafiri wa huko kutumia vijdau viduchu huku vikiondoka usiku wa manane huku vikjaa watoto wa Changa
nilitembelea utende huku mvua ikinyesha njia ilijaa matope na huku gari ikikwama kila wakati.
niiltembelea Kirongwe na huko magari hayapiti isipokuwa muyabebe .ni njia ilojaa matope.
nilitembelea Jimbo, mlali, Banja, jojo, Kifinge, Baleni na Ngome ambapo naamini Mbunge Hajafika huko kote nikitizama maendeleo na sio kupiga kampeni. huko kote wakulima wanaytumia vijembe vya mkono na hakuan tireketa katika kipindi hichi cha Kilimo KWANZA.
Nilitembelea skuli sekondAr ya Kirongwe na Kitomondo kwa kweli hamna walimu hasa wa masomo ya Sayansi na kwakweli wansoma kwa shida Huku wakitumia Vibatari. Nishati ya umeme ni ya kubahatisha na kijisehemu tu ndicho chenye kupata huduma hiyo ya shida ktk kisiwa cha Kilndoni. Kuhsu mabomba ya maji hayo usiseme. hakuna maji salama na hakuna mpangowa kuwapatia, l Kirongwe wala baleni au Dongo kama wnaweza kupata huduam hii kwa 200 ijayo
Kuhusu uvuvi mhe, mzee hapo tena wananchi wanafukuzwa kama punda na wawekezaji a. kuhus bandari mzee usiseme. Wnajengewa uwanja wa ndege kwa ajili ya mafisadi wenda kuchukua raslimani
za watu wa huko. wananchi wanalalama mbunge kahamia DAR jIJI LA MARAHA
Najitokeza kugombea Ubunge kwa Chama Cha C , nitampinga mbunge wa sasa na naamini kwa kisiwa kivyokuwa nitapata kwa 90%. nitakuwa mtu safi na nitakiimarisha kisiwa kukitoa kwenye giza lilopo

Mbunge mwenyewe ndio wewe?, si ukajifunze kwanza kuandika, kupanga paragraph na kuanza na helufi kubwa kwenye majina ya sehemu.

Kinyume cha hapo watu wa Mafia watakuwa wame ruka maji na kukanyaga mkojo! wenyewe kule mnaita "makojo"
 
mzee hata wewe kiswahili hukijui. umeona wapi neno helufi. sema herufi. umesoma chhoni nini
 
mzee umenena. mimi leo nimerudi katika kushiriki ktk wale maiti nimeona Jimbo lilovyokuwa naskika CASPEAN WANAKULA PESA za wananchi na bara bara haijengwi. inawezekana mafisadi wameivamia Mafia . kagombee Ubunge uwaokoe wenzetu. lkn usiwageuke baadae , nakupa kura yangu kabla sijaipiga
 
Jina langu. MzeewaHhoja
Elimu yangu. Inatosha kupitishwa.
Kadi yangu. nishailipia kama kijana
itikadi yangu. maendeleo
Chama Changu. C

Nilitembelea kisiwani Mfia hivi karibuni. Nilianzia Dar hadi Nyamisat na Kushuka Bandari ya hatari ilipo kilindoni. ni sfari yenye machofu ktk karne hii ya sayansi na teknlojia. ni safari ya kuliwa na Mbu na ya kucheza na maisha.
ni safari iliojaa hatari hasa baada ya usafiri wa huko kutumia vijdau viduchu huku vikiondoka usiku wa manane huku vikjaa watoto wa Changa
nilitembelea utende huku mvua ikinyesha njia ilijaa matope na huku gari ikikwama kila wakati.
niiltembelea Kirongwe na huko magari hayapiti isipokuwa muyabebe .ni njia ilojaa matope.
nilitembelea Jimbo, mlali, Banja, jojo, Kifinge, Baleni na Ngome ambapo naamini Mbunge Hajafika huko kote nikitizama maendeleo na sio kupiga kampeni. huko kote wakulima wanaytumia vijembe vya mkono na hakuan tireketa katika kipindi hichi cha Kilimo KWANZA.
Nilitembelea skuli sekondAr ya Kirongwe na Kitomondo kwa kweli hamna walimu hasa wa masomo ya Sayansi na kwakweli wansoma kwa shida Huku wakitumia Vibatari.
Nishati ya umeme ni ya kubahatisha na kijisehemu tu ndicho chenye kupata huduma hiyo ya shida ktk kisiwa cha Kilndoni. Kuhsu mabomba ya maji hayo usiseme. hakuna maji salama na hakuna mpangowa kuwapatia, l Kirongwe wala baleni au Dongo kama wnaweza kupata huduam hii kwa 200 ijayo
Kuhusu uvuvi mhe, mzee hapo tena wananchi wanafukuzwa kama punda na wawekezaji a. kuhus bandari mzee usiseme. Wnajengewa uwanja wa ndege kwa ajili ya mafisadi wenda kuchukua raslimani
za watu wa huko. wananchi wanalalama mbunge kahamia DAR jIJI LA MARAHA
Najitokeza kugombea Ubunge kwa Chama Cha C , nitampinga mbunge wa sasa na naamini kwa kisiwa kivyokuwa nitapata kwa 90%. nitakuwa mtu safi na nitakiimarisha kisiwa kukitoa kwenye giza lilopo

Andika kwa kiswahili ili kila mtu akuelewe hapa jamvini.
 
Ubunge wa JF twaweza kukupa lakini wa Jimbo inabidi uwe na watu wako huko na upange na lugha fasaha ya kuwaconvice- chama C ndio CCM?
 
Jina langu. MzeewaHhoja
Elimu yangu. Inatosha kupitishwa.
Kadi yangu. nishailipia kama kijana
itikadi yangu. maendeleo
Chama Changu. C

Nilitembelea kisiwani Mfia hivi karibuni. Nilianzia Dar hadi Nyamisat na Kushuka Bandari ya hatari ilipo kilindoni. ni sfari yenye machofu ktk karne hii ya sayansi na teknlojia. ni safari ya kuliwa na Mbu na ya kucheza na maisha.
ni safari iliojaa hatari hasa baada ya usafiri wa huko kutumia vijdau viduchu huku vikiondoka usiku wa manane huku vikjaa watoto wa Changa
nilitembelea utende huku mvua ikinyesha njia ilijaa matope na huku gari ikikwama kila wakati.
niiltembelea Kirongwe na huko magari hayapiti isipokuwa muyabebe .ni njia ilojaa matope.
nilitembelea Jimbo, mlali, Banja, jojo, Kifinge, Baleni na Ngome ambapo naamini Mbunge Hajafika huko kote nikitizama maendeleo na sio kupiga kampeni. huko kote wakulima wanaytumia vijembe vya mkono na hakuan tireketa katika kipindi hichi cha Kilimo KWANZA.
Nilitembelea skuli sekondAr ya Kirongwe na Kitomondo kwa kweli hamna walimu hasa wa masomo ya Sayansi na kwakweli wansoma kwa shida Huku wakitumia Vibatari.
Nishati ya umeme ni ya kubahatisha na kijisehemu tu ndicho chenye kupata huduma hiyo ya shida ktk kisiwa cha Kilndoni. Kuhsu mabomba ya maji hayo usiseme. hakuna maji salama na hakuna mpangowa kuwapatia, l Kirongwe wala baleni au Dongo kama wnaweza kupata huduam hii kwa 200 ijayo
Kuhusu uvuvi mhe, mzee hapo tena wananchi wanafukuzwa kama punda na wawekezaji a. kuhus bandari mzee usiseme. Wnajengewa uwanja wa ndege kwa ajili ya mafisadi wenda kuchukua raslimani
za watu wa huko. wananchi wanalalama mbunge kahamia DAR jIJI LA MARAHA
Najitokeza kugombea Ubunge kwa Chama Cha C , nitampinga mbunge wa sasa na naamini kwa kisiwa kivyokuwa nitapata kwa 90%. nitakuwa mtu safi na nitakiimarisha kisiwa kukitoa kwenye giza lilopo


Baba yako kawa Mbunge Mafia miaka 20 mbona hakujenga hizo barabara, shule, vituo vya afya na Bandari? Mbona alikuwa anakaa Makumbusho tu Mafia anakuja wakati wa uchaguzi?

Ikiwa mzee wako kashindwa kuku somesha mpaka unashindwa kuandika utaweza kuwa Mbunge kweli ww? Mafia sio sultanate ile muwe mna rithishana tu.

Tunakusubri kwa hamu sana njoo
 
Nakuunga mkono ukagombee na hivi kuna fununu mbunge wa huko anaishi dar.
 
Nilitembelea kisiwani Mfia hivi karibuni.
Yaani kutembelea tu tayari umeshapata hamu ya kugombea! Wewe jamaa si ndiye yule mwenye thread zile za kidini dini? Wakazi wa Mafia siwajui sana, ila wakikupa ubunge, nitakuwa na mashaka na akili zao. Kwa nini usisubiri hizo siku 14 uwe Kadhi?
 
Sio lazima uwe Mbunge ndio uwakomboe watu wa Mafai,otherrwise una lako jambo, Mi najua msaada unaweza kuutoa hata hapo ulipo na ukaupa mwongozo makini watu wakafanikiwa, sidhani kama Mapadri na Masheikh wana direct contact na Mungu na sie waumini hatumfikii Muumba mpak tupitie kwao.! BADILI FIKRA ZAKO.
 
Watu mnatafutana ubaya tu miye simo. Mbona wengine walioenda Mafia hivi majuzi na wenyewe hawataki kugombea huko na wameyaona hayo hayo tena wana "sababu" kubwa zaidi ya kugombea huko?
 
Baba yako kawa Mbunge Mafia miaka 20 mbona hakujenga hizo barabara, shule, vituo vya afya na Bandari? Mbona alikuwa anakaa Makumbusho tu Mafia anakuja wakati wa uchaguzi?

Ikiwa mzee wako kashindwa kuku somesha mpaka unashindwa kuandika utaweza kuwa Mbunge kweli ww? Mafia sio sultanate ile muwe mna rithishana tu.

Tunakusubri kwa hamu sana njoo
Mdau nini kimekusukuma kuona kwamba mzee wa hoja ni Omar Kimbau?
 
Muheshimiwa Spika,watu washaanza kuningilia.Mafisadi wananitafuta.Hivi BASATA wanaonaje hili la HATI miliki ya Ubunge? Mwanakijiji hatuwezipitisha muswada wa hili ili kuokoa uvunjifu wa amani?Kama wananchi wa B'mulo walivyosema CCM pitisheni sheria itakayosema CCM daima mkichagua wapinzani hakuna maendeleo.Mtikila alikuwa msuluhishi wa hili kwa mgombea binafsi.
 
Yaani kutembelea tu tayari umeshapata hamu ya kugombea! Wewe jamaa si ndiye yule mwenye thread zile za kidini dini? Wakazi wa Mafia siwajui sana, ila wakikupa ubunge, nitakuwa na mashaka na akili zao. Kwa nini usisubiri hizo siku 14 uwe Kadhi?
Niombe radhi kijana, WEWE udini kwako unapopiganiwa uslam tu?
 
Yaani kutembelea tu tayari umeshapata hamu ya kugombea! Wewe jamaa si ndiye yule mwenye thread zile za kidini dini? Wakazi wa Mafia siwajui sana, ila wakikupa ubunge, nitakuwa na mashaka na akili zao. Kwa nini usisubiri hizo siku 14 uwe Kadhi?
Niombe radhi kijana, WEWE udini kwako unapopiganiwa uslam tu?
Niombe radhi kijana, WEWE udini kwako unapopiganiwa uslam tu?
 
Back
Top Bottom