Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 266
Jina langu. MzeewaHhoja
Elimu yangu. Inatosha kupitishwa.
Kadi yangu. nishailipia kama kijana
itikadi yangu. maendeleo
Chama Changu. C
Nilitembelea kisiwani Mfia hivi karibuni. Nilianzia Dar hadi Nyamisat na Kushuka Bandari ya hatari ilipo kilindoni. ni sfari yenye machofu ktk karne hii ya sayansi na teknlojia. ni safari ya kuliwa na Mbu na ya kucheza na maisha.
ni safari iliojaa hatari hasa baada ya usafiri wa huko kutumia vijdau viduchu huku vikiondoka usiku wa manane huku vikjaa watoto wa Changa
nilitembelea utende huku mvua ikinyesha njia ilijaa matope na huku gari ikikwama kila wakati.
niiltembelea Kirongwe na huko magari hayapiti isipokuwa muyabebe .ni njia ilojaa matope.
nilitembelea Jimbo, mlali, Banja, jojo, Kifinge, Baleni na Ngome ambapo naamini Mbunge Hajafika huko kote nikitizama maendeleo na sio kupiga kampeni. huko kote wakulima wanaytumia vijembe vya mkono na hakuan tireketa katika kipindi hichi cha Kilimo KWANZA.
Nilitembelea skuli sekondAr ya Kirongwe na Kitomondo kwa kweli hamna walimu hasa wa masomo ya Sayansi na kwakweli wansoma kwa shida Huku wakitumia Vibatari.
Nishati ya umeme ni ya kubahatisha na kijisehemu tu ndicho chenye kupata huduma hiyo ya shida ktk kisiwa cha Kilndoni. Kuhsu mabomba ya maji hayo usiseme. hakuna maji salama na hakuna mpangowa kuwapatia, l Kirongwe wala baleni au Dongo kama wnaweza kupata huduam hii kwa 200 ijayo
Kuhusu uvuvi mhe, mzee hapo tena wananchi wanafukuzwa kama punda na wawekezaji a. kuhus bandari mzee usiseme. Wnajengewa uwanja wa ndege kwa ajili ya mafisadi wenda kuchukua raslimani
za watu wa huko. wananchi wanalalama mbunge kahamia DAR jIJI LA MARAHA
Najitokeza kugombea Ubunge kwa Chama Cha C , nitampinga mbunge wa sasa na naamini kwa kisiwa kivyokuwa nitapata kwa 90%. nitakuwa mtu safi na nitakiimarisha kisiwa kukitoa kwenye giza lilopo
Elimu yangu. Inatosha kupitishwa.
Kadi yangu. nishailipia kama kijana
itikadi yangu. maendeleo
Chama Changu. C
Nilitembelea kisiwani Mfia hivi karibuni. Nilianzia Dar hadi Nyamisat na Kushuka Bandari ya hatari ilipo kilindoni. ni sfari yenye machofu ktk karne hii ya sayansi na teknlojia. ni safari ya kuliwa na Mbu na ya kucheza na maisha.
ni safari iliojaa hatari hasa baada ya usafiri wa huko kutumia vijdau viduchu huku vikiondoka usiku wa manane huku vikjaa watoto wa Changa
nilitembelea utende huku mvua ikinyesha njia ilijaa matope na huku gari ikikwama kila wakati.
niiltembelea Kirongwe na huko magari hayapiti isipokuwa muyabebe .ni njia ilojaa matope.
nilitembelea Jimbo, mlali, Banja, jojo, Kifinge, Baleni na Ngome ambapo naamini Mbunge Hajafika huko kote nikitizama maendeleo na sio kupiga kampeni. huko kote wakulima wanaytumia vijembe vya mkono na hakuan tireketa katika kipindi hichi cha Kilimo KWANZA.
Nilitembelea skuli sekondAr ya Kirongwe na Kitomondo kwa kweli hamna walimu hasa wa masomo ya Sayansi na kwakweli wansoma kwa shida Huku wakitumia Vibatari.
Nishati ya umeme ni ya kubahatisha na kijisehemu tu ndicho chenye kupata huduma hiyo ya shida ktk kisiwa cha Kilndoni. Kuhsu mabomba ya maji hayo usiseme. hakuna maji salama na hakuna mpangowa kuwapatia, l Kirongwe wala baleni au Dongo kama wnaweza kupata huduam hii kwa 200 ijayo
Kuhusu uvuvi mhe, mzee hapo tena wananchi wanafukuzwa kama punda na wawekezaji a. kuhus bandari mzee usiseme. Wnajengewa uwanja wa ndege kwa ajili ya mafisadi wenda kuchukua raslimani
za watu wa huko. wananchi wanalalama mbunge kahamia DAR jIJI LA MARAHA
Najitokeza kugombea Ubunge kwa Chama Cha C , nitampinga mbunge wa sasa na naamini kwa kisiwa kivyokuwa nitapata kwa 90%. nitakuwa mtu safi na nitakiimarisha kisiwa kukitoa kwenye giza lilopo