Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Najitolea kwa moyo wangu wote bila shuruti kwenye kamati maalumu itakayoleta ushindi wa kishindo wa mgombea wetu Samia Suluhu Hassan kuelekea uchaguzi Mkuu 2025
Wadau hamjamboni nyote?
Mimi ndugu na rafiki yenu
Nimesukumwa na uzalendo, utii na mapenzi makubwa kwa nchi yangu
Nimeridhishwa pakubwa na mafanikio makubwa ya kiutendaji
Nimefurahishwa na utekelezaji safi wa ilani ya CCM
Hivyo bila shuruti wala tamaa ya kupata faida najitolea kuwa sehemu ya Wanakamati watakaohakikisha mgombea na Jemedari wetu pekee Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anapata ushindi wa kishindo kuelekea uchaguzi Mkuu 2025
Naomba kuwasilisha
Viva Rais Samia
Samia atosha hadi 2035
Hapa kazi tu
Wadau hamjamboni nyote?
Mimi ndugu na rafiki yenu
Nimesukumwa na uzalendo, utii na mapenzi makubwa kwa nchi yangu
Nimeridhishwa pakubwa na mafanikio makubwa ya kiutendaji
Nimefurahishwa na utekelezaji safi wa ilani ya CCM
Hivyo bila shuruti wala tamaa ya kupata faida najitolea kuwa sehemu ya Wanakamati watakaohakikisha mgombea na Jemedari wetu pekee Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anapata ushindi wa kishindo kuelekea uchaguzi Mkuu 2025
Naomba kuwasilisha
Viva Rais Samia
Samia atosha hadi 2035
Hapa kazi tu