Najiuliza: Kutambua kuwa kipato cha Mmarekani ni kikubwa kuliko cha Mtanzania linahitaji GPA ya 4.5 or Above?

Najiuliza: Kutambua kuwa kipato cha Mmarekani ni kikubwa kuliko cha Mtanzania linahitaji GPA ya 4.5 or Above?

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Eid Pili kwa wote!

Nimepita Twitter huko nikakuta kitu cha kushangaza sana nikaja hapa nikakuta kishaanzishiwa uzi nikasema vizuri kabisa kwa sababu nowdyas watanzania hawataki ujinga YES!

Watanzania wenzangu hili swala la kutambua kua kipato cha Mtanzania ni kidogo kuliko cha Mmarekani linahitaji GPA ya 4.5

Au swala la kutambua kua Mzunguko wa hela Marekani Ni mkubwa kuliko hapa Tanzania Linahitaji GPA ya 4.5

Inasikitisha sana kuona Rais wa Nchi anasema kua Marekani ina Bei kubwa ya Mafuta kuliko Tanzania.

Najiuliza maswali mengi nikiyaandika hapa Huu uzi utafutwa naogopa ila niishie kusema kua kuanzia saivi tuwe serious na Nafasi ya Mgombea Mwenza wa Urais.
 
Tanzania tunaongozwa na siasa. Hatupaswi kutumia akili. Akili za wanasiasa zinatosha. Marekani soda itakuwa inauzwa buku jero.
 
Eid Pili kwa wote!

Nimepita Twitter huko nikakuta kitu cha kushangaza sana nikaja hapa nikakuta kishaanzishiwa uzi nikasema vizuri kabisa kwa sababu nowdyas watanzania hawataki ujinga YES!

Watanzania wenzangu hili swala la kutambua kua kipato cha Mtanzania ni kidogo kuliko cha Mmarekani linahitaji GPA ya 4.5

Au swala la kutambua kua Mzunguko wa hela Marekani Ni mkubwa kuliko hapa Tanzania Linahitaji GPA ya 4.5

Inasikitisha sana kuona Rais wa Nchi anasema kua Marekani ina Bei kubwa ya Mafuta kuliko Tanzania.

Najiuliza maswali mengi nikiyaandika hapa Huu uzi utafutwa naogopa ila niishie kusema kua kuanzia saivi tuwe serious na Nafasi ya Mgombea Mwenza wa Urais.
Wacha tuisome namba.
 
Eid Pili kwa wote!

Nimepita Twitter huko nikakuta kitu cha kushangaza sana nikaja hapa nikakuta kishaanzishiwa uzi nikasema vizuri kabisa kwa sababu nowdyas watanzania hawataki ujinga YES!

Watanzania wenzangu hili swala la kutambua kua kipato cha Mtanzania ni kidogo kuliko cha Mmarekani linahitaji GPA ya 4.5

Au swala la kutambua kua Mzunguko wa hela Marekani Ni mkubwa kuliko hapa Tanzania Linahitaji GPA ya 4.5

Inasikitisha sana kuona Rais wa Nchi anasema kua Marekani ina Bei kubwa ya Mafuta kuliko Tanzania.

Najiuliza maswali mengi nikiyaandika hapa Huu uzi utafutwa naogopa ila niishie kusema kua kuanzia saivi tuwe serious na Nafasi ya Mgombea Mwenza wa Urais.
Shida ni elimu ya mkuu wa nchi. Anasifiwa wa kutoka form 4 failure hadi kuwa rais, lakini haisemwi sasa hivi anaelewa nini? Cheti mkononi hakitokani na uelewa, ni matokeo ya jinsi ulivyopatana na hao waliokufundisha, tena nasikia ni zao la Mzumbe.
 
Shida ni elimu ya mkuu wa nchi. Anasifiwa wa kutoka form 4 failure hadi kuwa rais, lakini haisemwi sasa hivi anaelewa nini? Cheti mkononi hakitokani na uelewa, ni matokeo ya jinsi ulivyopatana na hao waliokufundisha, tena nasikia ni zao la Mzumbe.
Mama kuna sehemu unashindwa kumuelewa unajiuliza hata mtu wa Madrasa mbona hili anaelewa.
 
Vita vya Ukraine 🇺🇦 vs Russia 🇷🇺 jamani, vumilieni, baada ya vita mafuta yatashuka vizuri tu, tuvumilie kwa muda miezi kadhaa bei itarudi kama kawaida.
 
Maneno halisi aliyosema rais, direct quote/ audio/ video yako wapi?

Aliyasrma kwa muktadha gani?
 
Vita vya Ukraine 🇺🇦 vs Russia 🇷🇺 jamani, vumilieni, baada ya vita mafuta yatashuka vizuri tu, tuvumilie kwa muda miezi kadhaa bei itarudi kama kawaida.
Aiseee wakiendelea hivihivi?
 
Akili ndogo sana ndio inaweza kuhoji hivi pasipo kujadili maada.
Aakili ni nini?

Hakuna mada ya kujadili kama hujaweka nukuu kamili na muktadha, sasa mimi nitajuaje kama Samia kasema haya maneno kweli au wewe umetunga tu?

Unaleta hoja bila nukuu, chanzo wala muktadha na unategemea watu waikubali tu?

Wwewe hujui kanuni za mjadala, hujui umuhimu wa nukuu, na hujui umuhimu wa kuonesha chanzo.

Na mpaka sasa unaonekana hujui maneno halisi aliyoyasema Samia ni yapi.

Na zaidi ya yote, hujui tofauti ya swala na suala.
 
Shida ni elimu ya mkuu wa nchi. Anasifiwa wa kutoka form 4 failure hadi kuwa rais, lakini haisemwi sasa hivi anaelewa nini? Cheti mkononi hakitokani na uelewa, ni matokeo ya jinsi ulivyopatana na hao waliokufundisha, tena nasikia ni zao la Mzumbe.
Unaweza ukafanikiwa hata kama ulifeli... ila mimi kama mwalimu najua Mtu aliofeli lazima kuna kitu kitakua hakipo sawa
 
Back
Top Bottom