Najiuliza sipati,kwanini inatokea inakuwa hivyo

Najiuliza sipati,kwanini inatokea inakuwa hivyo

Ritchy Breezy

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2020
Posts
479
Reaction score
727
Habari za wakati huu wapendwa
Natumai mnaendelea vizuri.
Hakuna binadamu asiye na changamoto ni kwamba tunazidiana tu,tupeane pole maisha yaendelee.

Naamini JF kuna watu wenye upeo tofauti wa kung'amua mambo tofauti kiroho na kimwili na sekta zote.
Kuna jambo nikikaa natafakari sana,najiuliza kwanini inakuwa mimi tu kila mara.
Kiuhalisia mimi ni mkimya lakin pia ni muongeaji sana nikishazoeana na mtu,na mtu wa aibu lakini deep down sina aibu hata kidogo sjui niielezee vip ila mimi nina ule muonekano wa mtu kuniona mpole,mtu nilietulia lakini kiuhalisia mimi ni player,mkorofi,jeuri ndo imelala hapa.
Kuna mmama wa genge alinipa jina fulani mfano mtu anaitwa Daud kuitwa D yule maza alikua nkienda kuchukua mazaga ananiita k mbona hivi na vile naishia kucheka tu,kilichonisurprise siku nlipita na manzi angu kwa kipindi iko alkua mjamzito ndo kunitania k kumbe nawe waga unafanya hivyooo,alkua serious kumaanisha kwamba sifananii,siyo huyo tu wapo wengi wanaonambia sifananii hasa ninapoomba show ama wakinikuta nmechill na manzi mazingira tatanishi utaskia " kumbe fulani wa moto", hawavumi"😃..SWALI LINABAKI KICHWANI kwani mi nafanania vipi??
Ikiwa washikaji zangu hawaniamini hata kuniacha nibaki na manzi zao ila watu mtaani wananiona mtu mpole na sina mambo mengii,something WRONG
kwangu hili si tatizo sana,kuna hili la pili ndo limenifanya nilete thread;
Imekua kawaida mimi ninapojichanganya au kukutana na watu tofauti kurecommend as mimi ni mchungaji au mtu wa dini while nina miaka kadhaa sjakanyaga kanisani,mara nyingi nikikutana na watu character wanayonipa ni mtu wa dini mpaka saivi nipo site fulani jina naloitwa ni mchungaji..masela nawaambia mi naitwa fulani ila wameshikilia mchungaji,kuna mzee mmoja ndo kang'ang'ania kuita haiti jina jingine zaid ya mchungaji licha ya kujua jina langu..
JE NINA KIPAWA HICHO??
ndo swali ninalojiuliza
.kiuhalisia mimi ni mwepesi mno kumjua mtu kupitia macho na jinsi anavyowasilisha maneno yake,nkimuona tu mtu najua nini nifanye ili afurahie au achukie..
.Nina tabia ya kumtreat mtu kadri ya jinsi anavyonichukulia
Akijifanya anajua sana,nampa nafasi then nampa kombora moja anatulia
Akinishinda silaha yangu ni UKIMYA NA KUTOJALI...
KIPAJI CHANGU NI SOKA,KWENYE SEKTA YA MPIRA HUNITOI WAZEE,ILA HIKI KIPAWA NACHOPEWA AU WANACHOONA WATU NDANI YANGU NIKIFANYIE KAZI AU NI MAWAZO TU YA WATU???
 
Watu kuna saa wanakosea, ndio maana kuna wakati wanalima wakiamini mvua itanyesha wavune mazao mengi ila mvua inagoma... Kwahyo usiwekee asilimia mia kwamba wanacho kisema ni kweli..

Kiimani auwezi kumjua mtu kwa kumtazama, mwili unadanganya, mtu ni roho(moyo)..

Kikubwa usiache kutenda mema, kama wewe ni mchungaji utakuwa tu hauwezi kukwepa, wala hakuna atakae zuia...
 
Uchungaji sio kipawa ni karama

Je umewahi kumuombea MTU akafanikiwa jambo lake ?

Pia jitahidi usome na ujifunze mambo ya Introvert na extrovert ujue wewe upo kundi gani.


Kumjua MTU hilki sio kipaji au karama ni kumsoma katika Aura reading waweza kujua anachopitia.
 
Watu kuna saa wanakosea, ndio maana kuna wakati wanalima wakiamini mvua itanyesha wavune mazao mengi ila mvua inagoma... Kwahyo usiwekee asilimia mia kwamba wanacho kisema ni kweli..

Kiimani auwezi kumjua mtu kwa kumtazama, mwili unadanganya, mtu ni roho(moyo)..

Kikubwa usiache kutenda mema, kama wewe ni mchungaji utakuwa tu hauwezi kukwepa, wala hakuna atakae zuia...
Ni kweli but mi nkizngumza naww physically ntajua mengi 70%+
Najua kipi unadanganya kipi hudanganyi,kipi unapitia na kipi hujui nikifanya kitu kibaya au kujiunga/ kuwa karibu na watu wenye mienendo mibaya lazima ntaota ndoto nkitafakari naona naonywa hivyo waga najkataa kimtindo bila wao kujua,i mean nawapotezea.
 
Uchungaji sio kipawa ni karama

Je umewahi kumuombea MTU akafanikiwa jambo lake ?

Pia jitahidi usome na ujifunze mambo ya Introvert na extrovert ujue wewe upo kundi gani.


Kumjua MTU hilki sio kipaji au karama ni kumsoma katika Aura reading waweza kujua anachopitia.
Mimi kuinteract na mtu au watu ni rahisi,lakn pia mtu kuniamini waga stumii nguvu sana
Japo pia ni mkimya sana coz napenda kuobserve matendo na hulka za watu tofauti na hiyo hunipa nafasi ya kujua yupi wa kuchangamana nae..
..kukaa na watu wengi mi kwangu ni sumu bora naweza shinda ndani mwenyew na niko comfortable kbs
.napenda utani/ kufurahi mimi kunikuta nacheka si jambo gumu sana kama ukinikuta kwenye kundi au mtu ninaemfahamu,hata kam limetokea jambo la kuskitisha kiasi gani wengne wakasktika ila mimi utaniona nacheka.
Mfano game ya simba na yanga
Mimi ni simba tulivyofungwa mashabiki wa simba hawakuwa na furaha ila mimi njia nzima vicheko mpaka wakahisi pengine mimi siyo shabiki wa simba.
 
Ni kweli but mi nkizngumza naww physically ntajua mengi 70%+
Najua kipi unadanganya kipi hudanganyi,kipi unapitia na kipi hujui nikifanya kitu kibaya au kujiunga/ kuwa karibu na watu wenye mienendo mibaya lazima ntaota ndoto nkitafakari naona naonywa hivyo waga najkataa kimtindo bila wao kujua,i mean nawapotezea.
wewe ni kondoo mwitu ,umeshajitaja jinsi ulivyo tofauti na watu wanavyokuona .

Kwa kuwa una kipaji Cha soka au tuseme michezo kwa jumla pigia mahesabu kiti cha nguli Philbert Bayi pale TOC kazeeka yule utafaa sana kurithi nafasi yake uweze kulisaidia Taifa kuondokana na aibu ya kukosa medals mashindano ya Olympic na mashindano mengine kimataifa.
 
wewe ni kondoo mwitu ,umeshajitaja jinsi ulivyo tofauti na watu wanavyokuona .

Kwa kuwa una kipaji Cha soka au tuseme michezo kwa jumla pigia mahesabu kiti cha nguli Philbert Bayi pale TOC kazeeka yule utafaa sana kurithi nafasi yake uweze kulisaidia Taifa kuondokana na aibu ya kukosa medals mashindano ya Olympic na mashindano mengine kimataifa.
Si rafiki now nina 27 na soka la bongo mkuu jau tu..shule muda mwingine znatujenga kuwa tegemezi,leo nkiwaambia wanaonijua vizur kuwa schezi mpira watashangaa mno but ndo maisha...natembeza bahasha kibarua unalipwa siku mtu akijskia FCK!!
 
Si rafiki now nina 27 na soka la bongo mkuu jau tu..shule muda mwingine znatujenga kuwa tegemezi,leo nkiwaambia wanaonijua vizur kuwa schezi mpira watashangaa mno but ndo maisha...natembeza bahasha kibarua unalipwa siku mtu akijskia
kwa huo umri wako kwenye soka unaingia lala salama kama unaona kipaji chako Cha mpira kinaweza kupa maisha mazuri ,ingia msituni tafuta nauli ,tafuta marafiki waliopo Africa ya kusini,Uarabuni au ulaya Fanya juu chini uondoke bongo kajilipue huko nje ,nchi kama Sweden Kuna watanzania wameanzisha timu kule inaitwa Kilimanjaro fc tafuta namna Gani unaweza kwenda kuwaona huko waliko au ukishindwa mpira utajichanganya na maisha ya huko , jaribu.
 
kwa huo umri wako kwenye soka unaingia lala salama kama unaona kipaji chako Cha mpira kinaweza kupa maisha mazuri ,ingia msituni tafuta nauli ,tafuta marafiki waliopo Africa ya kusini,Uarabuni au ulaya Fanya juu chini uondoke bongo kajilipue huko nje ,nchi kama Sweden Kuna watanzania wameanzisha timu kule inaitwa Kilimanjaro fc tafuta namna Gani unaweza kwenda kuwaona huko waliko au ukishindwa mpira utajichanganya na maisha ya huko , jaribu.
Mkuu nielekeze vizur hapo au nicheki kwa 0767911491 pm hazfunguki nicheki unipe maelekezo kama inawezekana mwaga hapa kwa faida ya wengi
 
Mkuu nielekeze vizur hapo au nicheki kwa 0767911491 pm hazfunguki nicheki unipe maelekezo kama inawezekana mwaga hapa kwa faida ya wengi
Mkuu kama unataka connections za timu za mipira nje ya nchi mimi sina tafuta watu wanaoitwa watu wa mpira hao watakusaidia mara nyingi hukaa VIP kwenye viwanja vya Moira hai tafuta namna ya kuwa karibu nao watakusaidia ,Mimi sasa hivi nipo Mpanda huku natafuta mashamba ya kulima mahindi.
 
Mkuu kama unataka connections za timu za mipira nje ya nchi mimi sina tafuta watu wanaoitwa watu wa mpira hao watakusaidia mara nyingi hukaa VIP kwenye viwanja vya Moira hai tafuta namna ya kuwa karibu nao watakusaidia ,Mimi sasa hivi nipo Mpanda huku natafuta mashamba ya kulima mahindi.
😂😂saawa mkuu
 
Habari za wakati huu wapendwa
Natumai mnaendelea vizuri.
Hakuna binadamu asiye na changamoto ni kwamba tunazidiana tu,tupeane pole maisha yaendelee.

Naamini JF kuna watu wenye upeo tofauti wa kung'amua mambo tofauti kiroho na kimwili na sekta zote.
Kuna jambo nikikaa natafakari sana,najiuliza kwanini inakuwa mimi tu kila mara.
Kiuhalisia mimi ni mkimya lakin pia ni muongeaji sana nikishazoeana na mtu,na mtu wa aibu lakini deep down sina aibu hata kidogo sjui niielezee vip ila mimi nina ule muonekano wa mtu kuniona mpole,mtu nilietulia lakini kiuhalisia mimi ni player,mkorofi,jeuri ndo imelala hapa.
Kuna mmama wa genge alinipa jina fulani mfano mtu anaitwa Daud kuitwa D yule maza alikua nkienda kuchukua mazaga ananiita k mbona hivi na vile naishia kucheka tu,kilichonisurprise siku nlipita na manzi angu kwa kipindi iko alkua mjamzito ndo kunitania k kumbe nawe waga unafanya hivyooo,alkua serious kumaanisha kwamba sifananii,siyo huyo tu wapo wengi wanaonambia sifananii hasa ninapoomba show ama wakinikuta nmechill na manzi mazingira tatanishi utaskia " kumbe fulani wa moto", hawavumi"😃..SWALI LINABAKI KICHWANI kwani mi nafanania vipi??
Ikiwa washikaji zangu hawaniamini hata kuniacha nibaki na manzi zao ila watu mtaani wananiona mtu mpole na sina mambo mengii,something WRONG
kwangu hili si tatizo sana,kuna hili la pili ndo limenifanya nilete thread;
Imekua kawaida mimi ninapojichanganya au kukutana na watu tofauti kurecommend as mimi ni mchungaji au mtu wa dini while nina miaka kadhaa sjakanyaga kanisani,mara nyingi nikikutana na watu character wanayonipa ni mtu wa dini mpaka saivi nipo site fulani jina naloitwa ni mchungaji..masela nawaambia mi naitwa fulani ila wameshikilia mchungaji,kuna mzee mmoja ndo kang'ang'ania kuita haiti jina jingine zaid ya mchungaji licha ya kujua jina langu..
JE NINA KIPAWA HICHO??
ndo swali ninalojiuliza
.kiuhalisia mimi ni mwepesi mno kumjua mtu kupitia macho na jinsi anavyowasilisha maneno yake,nkimuona tu mtu najua nini nifanye ili afurahie au achukie..
.Nina tabia ya kumtreat mtu kadri ya jinsi anavyonichukulia
Akijifanya anajua sana,nampa nafasi then nampa kombora moja anatulia
Akinishinda silaha yangu ni UKIMYA NA KUTOJALI...
KIPAJI CHANGU NI SOKA,KWENYE SEKTA YA MPIRA HUNITOI WAZEE,ILA HIKI KIPAWA NACHOPEWA AU WANACHOONA WATU NDANI YANGU NIKIFANYIE KAZI AU NI MAWAZO TU YA WATU???
Bhc Kuwa mchungaji..
 
Back
Top Bottom