Nailyne
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 350
- 113
- Thread starter
-
- #21
Nikisikia mwanaume anampiga mkewe nashindwa kabisa kuelewa. Unampiga ili iweje? Unamfundisha tabia wakati kesha komaa?
Ila nikisoma hii thread kuna something wrong. Nani alikuwa ana fund hiyo safari? Kama ni foreign institution, naona kuna utata wa kumpa taharifa third part aje amwambie huyo dada kuwa safari imesogezwa. Je huyo jamaa alikuwa ni coordinator? Naona safari imekaa ki informal informal.
Kingine huyo mdada alikuwa hajuhi tabia za mumewe. Ukijua mumeo ana mawivu ya kupitiliza inabidi uepuke kugawa namba za simu kwa kila mtu.
ur right nyumba kubwa huyo aliyepiga simu alikuwa ni kama anataka ku-confirm kwa huyo dada kama na yeye amepata hiyo taarifa kuwa safari imehairishwa, ila by that time huyo dada alikuwa hajapata hiyo taarifa as hakuwa ameaccess email yake, but the next day akatumiwa the same info na codinator kuwa safari imehairishwa.
hilo ya kugawa na namba ya simu NK, kwa maisha ya sasa hivi, kusema mtu ajilimit kutoa namba ya simu,bz mume/mke hapendi, linategemea na nature ya kazi unayofanya, lakini pia maisha yamebadilika sana watu hatuishi tena in isolation, networking ni muhimu,of coz sio na kila mtu ,ni vyema kutengeneza mitandao na watu, ni tabia ya mtu mi naamini ndio inaweza kulinda ndoa/ mahusiano