Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kwema Wakuu!
Kuna mambo yananishangazaga sana. Mpaka wakati mwingine najiuliza kwa NINI ipo hivyo.
Mimi ninatabia sijui niite ya ajabu au ya namna gani. Iko hivi;
Mimi sionagi shida mtu akiniita Mjinga, akiniona hamnazo, akiniita hata majina ya namna yoyote Ile. Kwangu sioni shida.
Yaani Maoni ya mtu mwingine au mitazamo ya mtu mwingine kunihusu Mimi sijajua kwa NINI hainiumizi.
Ila Mimi nikitoa maoni yangu kwa watu wengi. Yaani vile ninavyowaona au hata nikiwatania wengi huumia, huona kama ninawadharau, yaani ni kwamba wanajali.
Huwaga najiuliza kwa nini watu hujali na kuumizwa na maoni ya watu wengine.
Yaani mfano Mimi nikuone huna Akili Ati na wewe unaumia ILHALI unajijua unaakili. Hiyo inasababishwa na nini?
Mbona Mimi siumii?
Tabia yangu hiyo ilinifanya nisiwe na majina ya utani. Ila majina ninayojipa ndio yanashika na watu huyatumia.
Lakini pia ninakitu sijui ni karama, nikimtamkia mtu jina mtaani linashika na watu wanalitumia kumuita mtu kwa jina hilo. Hiyo inasababishwa na nini?
Karibuni wakulungwa
Kuna mambo yananishangazaga sana. Mpaka wakati mwingine najiuliza kwa NINI ipo hivyo.
Mimi ninatabia sijui niite ya ajabu au ya namna gani. Iko hivi;
Mimi sionagi shida mtu akiniita Mjinga, akiniona hamnazo, akiniita hata majina ya namna yoyote Ile. Kwangu sioni shida.
Yaani Maoni ya mtu mwingine au mitazamo ya mtu mwingine kunihusu Mimi sijajua kwa NINI hainiumizi.
Ila Mimi nikitoa maoni yangu kwa watu wengi. Yaani vile ninavyowaona au hata nikiwatania wengi huumia, huona kama ninawadharau, yaani ni kwamba wanajali.
Huwaga najiuliza kwa nini watu hujali na kuumizwa na maoni ya watu wengine.
Yaani mfano Mimi nikuone huna Akili Ati na wewe unaumia ILHALI unajijua unaakili. Hiyo inasababishwa na nini?
Mbona Mimi siumii?
Tabia yangu hiyo ilinifanya nisiwe na majina ya utani. Ila majina ninayojipa ndio yanashika na watu huyatumia.
Lakini pia ninakitu sijui ni karama, nikimtamkia mtu jina mtaani linashika na watu wanalitumia kumuita mtu kwa jina hilo. Hiyo inasababishwa na nini?
Karibuni wakulungwa