Najivunia kuwa brazamen

Brazamen na tozi wote walewale.

mateso yesu alibeba pale carvali.
 
wanaume wa dar, kutwa kushinda kwenye vioo
Kaka kioo nakitumia wakati navaa na kujiweka sawa, baada ya hapo ni kazi tu mie nafanya sana kazi kazi ndio inanipa heshima na materials ya kuwa classic.
 
Nyie si ndo mnavaa suruali za dada zenu
 
Mabrazamen nyinyi siwakubali wala nini.

Kuna mwenzenu mmoja akawa room mate wangu siku hiyo natoka gym namkuta anajifutia miguu fulana yangu. Namuuliza anajibu mi nilifikiri tambara, nigga fvck u tambara linakaaje kwenye begi? Nigga hii ndo fulana yangu pendwa.

Akanipigia simu, rudi chap umeme umeisha. Nikarud nikaweka umeme, naona mtu katoa chupi anaanza kupiga pasi.

Thats right dunia ilikua mbele this dude tulimwacha nyuma, bado alikua anavaa chupi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…