Najivunia kuwa brazamen

Kubali kataa kuwa bishoo ni hela kama huna hela huwezi kuwa brazamen miaka mia8 pili watu wamekariri kuwa brazamen ni lazima upake poda hizo ni akili za kijinga kuwa brazamen ni kuwa msafi na kujijali huku ukipiga kazi ili ueendelee kushine ukiwa mchafu mchafu uko hovyo hovyo hung'oi mtoto mkali hata siku moja
 
[emoji2][emoji2][emoji2] vipi unaoga mara ngapi kwa siku
 
Mkuu basi Mimi tuna swaga moja na wewe,,ila mimi wananiita check Bob,,,mtaani,,, sasa sijuwi kuna tofauti hapo,,,,ila napita mule mule,,,chini Nike ,,,belt brown au black pure leather,,, saa diesel,,miwani ray band...wallet diesel,,hakuna mambo ya kuweka pesa kwenye soksi,,,.

Perfumes xs Paco rabanne ,,, ANTHONIO BENDAS au Essie miyake,,au joop...mkuu zote napiga mix ,,2 drops each perfume,, mkuu demu simpigii simu,,namwita kwa harufu tu..nikipita barazani kwao mwenyewe anatafuta nilipokuwa...anapata salamu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…