Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Huku chama langu pendwa @SIMBASPORTSCLUBTZ Likiwa ndo timu ya kwanza duniani kote kuandaa na kufungua pazia la michuano hii maarufu ambayo miaka miwili nyuma ilizua taharuki huko ulaya kwa madai kwamba itaua nguvu ya michuano ya ulaya kwa ngazi yavi labu.
Ila leo hii mnyama atakuwa anafuatiliwa na mamilion ya wanamichezo kote duniani.
Huyo kibu d unaemdharau wewe, mzamiru ambae kutwa unamtaja kazeeka,
Kapombe na zimbwe jr watakuwa wanakiwasha mbele ya kiongozi mwenye dhamana ya mpira sio tu duniani, bali ulimwenguni kote!
Nani hapa nyumbani alitarajia michuano iliyoonekana kuwa nanguvu kuliko uefa champions league ingekuja kuzinduliwa huku africa? Tena east africa na mwenyeji kuwa simba?
Asante MO kwa uthubutu wako, najua jambo hili litakupa nguvu zaidi na kuona juhudi zako zinaelekea kuzaa matunda, japo kikosi chetu tiamaji tiamaji, lakini kwa hili la AFL hakika umechangia pakubwa mno.
Twende wanalunyasi tukaipendezeshe BENJAMIN MKAPA STADIUM siku ya ijumaa!
NB: ipo siku kila mmoja ataishabikia SSC.
Ila leo hii mnyama atakuwa anafuatiliwa na mamilion ya wanamichezo kote duniani.
Huyo kibu d unaemdharau wewe, mzamiru ambae kutwa unamtaja kazeeka,
Kapombe na zimbwe jr watakuwa wanakiwasha mbele ya kiongozi mwenye dhamana ya mpira sio tu duniani, bali ulimwenguni kote!
Nani hapa nyumbani alitarajia michuano iliyoonekana kuwa nanguvu kuliko uefa champions league ingekuja kuzinduliwa huku africa? Tena east africa na mwenyeji kuwa simba?
Asante MO kwa uthubutu wako, najua jambo hili litakupa nguvu zaidi na kuona juhudi zako zinaelekea kuzaa matunda, japo kikosi chetu tiamaji tiamaji, lakini kwa hili la AFL hakika umechangia pakubwa mno.
Twende wanalunyasi tukaipendezeshe BENJAMIN MKAPA STADIUM siku ya ijumaa!
NB: ipo siku kila mmoja ataishabikia SSC.