Hell is real
JF-Expert Member
- Aug 14, 2021
- 204
- 364
Habari wakuu hapa tiyari nimelipa kodi ya jengo 2000 nimenunua umeme wa 5000, serikali wamefanya yao!
Kimsingi najivunia kuwa mzalendo, maana wapinzani wametuchelewesha sana, mambo kama haya mazuri walikuwa wanayazuia bungeni, wanajifanya kuwatetea wananchi ambao wengi wao hawajitambui!
Saivi ni raha sana kila jambo likienda bungeni tunaita direct current hamna kizuizi!! Wabunge wamelewa na posho kazi Yao ni ndiyo na posho. Tunaisoma namba. Wote (maendeleo hayana chama)
Kimsingi najivunia kuwa mzalendo, maana wapinzani wametuchelewesha sana, mambo kama haya mazuri walikuwa wanayazuia bungeni, wanajifanya kuwatetea wananchi ambao wengi wao hawajitambui!
Saivi ni raha sana kila jambo likienda bungeni tunaita direct current hamna kizuizi!! Wabunge wamelewa na posho kazi Yao ni ndiyo na posho. Tunaisoma namba. Wote (maendeleo hayana chama)