picha zenyewe umepiga na yebo yebo utampata nani, wanawake wa siku hizi wanaangalia wallet then mauzo....usmart wahitajika bana
Nina wasiwasi na maisha yangu,nina miaka28hadi sasa sina mchumba,Nipo chuo kwa sasa,kila mwanamke nikimtongoza hataki kabisa,nahisi kama vile nina mkosi,naomba dada anayejua kupenda anitoe nuksi,nina mapenzi ila sina pa kuyamwaga,::0712336687:::
Da mkuu ogopa watu waliosoma seminary, wanapiga jando balaa!.haiwezekan ukose mwanamke kaka, hata kama ni domo zege kiasi gan, siku wanawake wala si wa kupiga sound kama zaman had akajifikirie. Siku iz unasema live that let make a deal, bas kwisha kazi. Ila wewe nahis ulisoma seminary sasa so umekaa kilokole sana. Changamka utawapat weng tu
Mwenzio kala jumba hapo na kitabu pembeni, halafu chini ya double deck. Unamkatisha tamaa!.Nilipoona hizo picha...nilitokwa na machozi, usikate tamaa
Nilipoona hizo picha...nilitokwa na machozi, usikate tamaa