Najua hamkunikumbuka ila ndo nimesharudi kama hivi

Najua hamkunikumbuka ila ndo nimesharudi kama hivi

Socw

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2016
Posts
1,329
Reaction score
2,644
Dadeq, nimepotea jf kwa muda mrefu kutokana na matatizo binafsi. Niliibiwa simu na ikawa changamoto kupata simu nyingine. Nimefanya vibarua vya kila aina lakini hela yote tumbo likawa linachukua bila huruma.

Na hakuna aliyethubutu hata kujisumbua kuniulizia kama niko hai au nimerudisha namba kwa kipa ila freshi maana sina nyota ya chipsi mayai. Ila ndo nimerudi hivyo, mtake msitake.
 
Dadeq, nimepotea jf kwa muda mrefu kutokana na matatizo binafsi. Niliibiwa simu na ikawa changamoto kupata simu nyingine. Nimefanya vibarua vya kila aina lakini hela yote tumbo likawa linachukua bila huruma. Na hakuna aliyethubutu hata kujisumbua kuniulizia kama niko hai au nimerudisha namba kwa kipa ila freshi maana sina nyota ya chipsi mayai. Ila ndo nimerudi hivyo, mtake msitake.

The way umeandika uzi wako nimejikuta niko na mixed feelings....kucheka na kusikitika

Mie nilikukumbuka lakini nilihisi tutakuwa pamoja kwa ID nyingine,pole kwa kuibiwa simu

Welcome back!​
 
Dadeq, nimepotea jf kwa muda mrefu kutokana na matatizo binafsi. Niliibiwa simu na ikawa changamoto kupata simu nyingine. Nimefanya vibarua vya kila aina lakini hela yote tumbo likawa linachukua bila huruma. Na hakuna aliyethubutu hata kujisumbua kuniulizia kama niko hai au nimerudisha namba kwa kipa ila freshi maana sina nyota ya chipsi mayai. Ila ndo nimerudi hivyo, mtake msitake.
Jinsi yako tafadhali?
 
mkuu, jf tunatafutwa na kukumbukwa watu wa maana tu [emoji23] wewe nani akukumbuke


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu, kauli yako imeniumiza sana. Kwa hiyo mimi ni kama deo kisandu tu au sio mkuu?
 
The way umeandika uzi wako nimejikuta niko na mixed feelings....kucheka na kusikitika

Mie nilikukumbuka lakini nilihisi tutakuwa pamoja kwa ID nyingine,pole kwa kuibiwa simu

Welcome back!​
Ubarikiwe dada yangu, kumbe watu wenye roho nxuri bado mpo. Asante nimekaribia.
 
Dadeq, nimepotea jf kwa muda mrefu kutokana na matatizo binafsi. Niliibiwa simu na ikawa changamoto kupata simu nyingine. Nimefanya vibarua vya kila aina lakini hela yote tumbo likawa linachukua bila huruma. Na hakuna aliyethubutu hata kujisumbua kuniulizia kama niko hai au nimerudisha namba kwa kipa ila freshi maana sina nyota ya chipsi mayai. Ila ndo nimerudi hivyo, mtake msitake.
mbona kama unatutishia na kuongea kwa kuchamba chamba kama mwanamke wa uswahilini
 
Kabla hujaondoka uliacha kuandika zile thread ambazo ulikuwa unaweka story kwa kutumia IDs za JF.

Zile tu ndo zilikuwa zinasababisha nikukumbuke.
 
karibu tena mkuu,uchumi mgumu mawazo mengi.
 
Back
Top Bottom