Drax001
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 443
- 228
Habari za majukumu wakuu nimesomea korea kaskazini miaka mitatu lugha yao mimi ndio nikawa genus wa korea kaskazini sasa nimerudi tanzania kuja kuchukua kozi ya kiswahili tena maana nimeanza kukisahau nikirudi korea kaskazini nawaahidi hwangsong 14 tutaanza kuziripua zile nuclear test maana mimi ndio genus wa mambo ya computer korea ya kaskazini kim jamaa yangu sana [emoji1] [emoji1]