Najua mpo mliounguza fuse!katika mechi za mchangani!

Najua mpo mliounguza fuse!katika mechi za mchangani!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Kama mwanaume wa ukweli lazima gono,kaswende etc umeishakumbana navyo!sasa hapa najua kuna madogo humu wanakutana na misala mingi ya gono,kisonono,kaswende!
Niwajibu wetu kuwapa maujanja Madogo ukipuyanga ukapata magonjwa hayo kanunue POWER SAFE Ila kama kuna mwingine anajua tupia.
 
Hehehehe

Sijawahi kupata haya magonjwa na dry zote hizi nlizopiga
 
hahahaha unayapata halafu hujui nani aliyekuambukiza maana kwa siku 3 zote umeruka na wa3 tofauti unashindwa kumjua yupi ni yupi....bwana weeee...!!noma kweli...hadi leo siendi kavu ata kwa mtoto wa geti
 
Kiboko yao sprit tena ile mpya kabisa nyunyuzia tu siku mbili ushapona ila maumivu yake huta uza mechi tena.
Unanyunyizia wapi mkuu!? Au kwenye papuchi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ongezea hapo Penadur......hii ni kali ukichomwa kalio basi huo upande uliochomwa hutaweza kukaa kwenye kiti karibu siku 3 utakuwa unakaa upande upande (tako moja)
 
Namshukuru mungu sijawahi kupata maradhi haya.. na umalaya wote niliofanya..
 
Kwa hyo sisi wanaume ambao hatujawai kupata hayo magonjwa sio wa kweli JF bhana
 
Acha kabisa ni antibiotic kuliko zote unazozijua hata kama leo usaa unatoka ujue ukichomwa kesho umepona
duh! basi hiyo dawa kweli noma.

inawafaa sana wauza mechi
 
Kuna dem nimepiga kavukavu wiki nzima jana anaanza kuniamba story za kutisha, hadi naota ndoto nmepima nna h.i.v, hapa nawaza nikapime au? Hali sio nzur kwa kweli
 
Kuna dem nimepiga kavukavu wiki nzima jana anaanza kuniamba story za kutisha, hadi naota ndoto nmepima nna h.i.v, hapa nawaza nikapime au? Hali sio nzur kwa kweli
Stress ndio zinauwaga..we tulia tu fanya kama huku ngonoka naye.
 
Back
Top Bottom