Najua mtanishambulia sana lakini wanawake kwa hili mnachangia mno kuiangamiza dunia!

Dumelambegu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
1,052
Reaction score
257
Wakuu,

Kama kichwa cha thread kinavyosomeka, ni ukweli usiopingika kuwa mavazi ya wanawake yanachangia sana vitendo vya ngono. Sasa hivi limekuwa ni jambo la kawaida kuona akina dada mijini wakiwa na mavazi yanayoooneyesha waziwazi miili yao kama vile matiti, mapaja na sasa baadhi wameanza kuvaa nguo zinazoonyesha hata shanga viunoni. Hata bungeni sasa ugonjwa huo umebisha hodi na kukaribishwa kwa kishindo. Kuna picha kwenye Jukwaa la Jamii Photos inayoonyesha dada mmoja akiwa kwenye club moja huku makalio yote yakiwa nje kabisa.

Jamani akina dada chondechonde wanaume kama sisi madume ya mbegu mnatutesa jamani. Tutaangamia wenzenu. Hivi serikali haioni tatizo hili! Na tamwa je?
 
mama yako ni mwanamke au mwanaume?
Kama ni mwanamke umesha wahi kumwambia hili?
Tofautisha wanawake wenye staha zao na machangudoa
 
Kwahiyo we nawe unatamani kila unachokiona????Punguza tamaa uishi!!!
 
Ukiendelea na tamaa za aina hiyo kuna siku utabaka hadi ndugu zako, ni tamaa tu zinakuongoza huko mana kuna wale dungadunga hata mwanamke awe amejistiri vipi bado wanamkimbilia na kummfanyia mbaya kwa hiyo unahitaji msaada wa kitaalam
 
Dumelambegu nakuunga mkono kwa asilimia 200. Wanawake sasa wamekubuhu. Kwa kweli kama ni suala la mavazi ninawaunga mkono sana waarabu. Nadhani ndiyo maana waliamua kuwadhibiti kiasi cha kufunika mpaka nyuso zao.
 
Hongera uliyejariwa kuwa na uwezo wa kuamua utamani kipi na usitamani kipi. Ningekuwa hivyo ningemshukuru sana muumba.
Kwahiyo wewe huna maamuzi???Dada yako nae akijiachia hivyo utamtamani????Nwy hata kama huwezi kujizuia kutamani sawa endelea kutamani....ila sio lazima ujipe/upate kila unachotamani!!Usiendekeze tamaa....furahisha macho then potezea!!
 
kweli mkuu sometimes unaweza kukutana na mdada kavaa skinjinz wanaita wao. Unajiuliza huyu kavaa suruali au kajipakaa rangi mguuni???? Ila we wakaukie broo jinsi maisha yanavozidi kuwa magum itafika kipindi wanaenda uchi wala wanaume hawana mpango. Mtu unawaza utakula nini utaishi vipi utakodolea jaribio kweli???
 
Kwahiyo wewe huna maamuzi???Dada yako nae akijiachia hivyo utamtamani????Nwy hata kama huwezi kujizuia kutamani sawa endelea kutamani....ila sio lazima ujipe/upate kila unachotamani!!Usiendekeze tamaa....furahisha macho then potezea!!

Acha theory za kipuuzi wewe!! Hujasikia watu wamebaka mpaka watoto au dada zao. Tunasingizia eti itakuwa ni maelekezo ya waganga wa kienyejio lakini ukweli ni kuwa wanawake wanamiss behave sana kwenye suala la mavazi. Washenzi sana. Mimi ningekuwa na uwezo ningeanzisha operation maalum ya kudhibiti ushenzi unaofanywa na wanawake kwenye mavazi.

Dumelambegu upo sahihi kabisa na ndiyo maana kwa hili nawaunga mkono ndugu zetu waislamu.

.
 
tatizo la Tz hili suala la uchi linafichwa sana,nilivyoingia huku nilikuwa na*inda mpaka naniliyu ilikuwa inauma, lkn sasa nimeshazoea na mie najionea kawaida tu
 
Kwahiyo unahalalisha anaembaka ndugu /mtoto wake kwa kisingizio cha kwamba amevaa vibaya???Kweli wewe una akili sana!Zamani walivyokua wanafunika kifua tu Nna sehemu ya chini kidogo sijui walibakana wangapi!!!
 

unachosema ni kweli kabisa mi hadi sehemu nyingine naona aibu kabisa kuna dada mmoja alipita sokoni na kisketi kifupi basi akaja kijana akamwambia dada naona unapenda kuonyesha ulivyo navyo wakamvua kabisa sketi, si semi kitendo hichi ni sawa lakini wewe unadhani huyu dada atarudia?ni fundisho hakuna cha fashion wala nini kujisitiri muhimu na zaidi kuelewa kila vazi lina sehemu yake mi nimeshaona mdada nguo ya kuendea club amevaa kanisani eti fashion!!!

ila hata wanaume mmezidi kutamani na mara nyingine nyie ndo source ya hayo mavazi coz unakuta mkaka anamwambia girlfriend wake avae hivyo ndo anapendeza sa maana yake nini?
 

Kuna tofauti ya wadada, kuna wale wanavaa wawe sexy na kuna wale wanavaa mi hua naita "calling for it" how ever utavyotaka kupendeza au ku impress, ukiweka vitu kama shanga nje nje ina maana kama biashara vile, unaweza ukawa hujasajili rasmi but unaifanya.

Kwa jinsi ulivyo elezea inaonesha unapenda saana kwenda maeneo ambayo wadada huvaa hivyo. Epuka yanini ujipe shida mtoto wa kuume na hali wewe lijali???
 
Serikali inayojali wananchi wake inaweza ikaanzisha hata 'code of dressing' na kuisimamia ipasavyo ili kuwezesha watu wa-concentrate kwenye mambo ya maana badala ya kila wakati kuwaza ngono tu. Hata baadhi ya mitumba ingezuiliwa kuingia nchini. Uhuru mwingine hauna maana! Ni ushenzi usiomithirika kuiga vitu ambavyo vinaiangamiza jamii badala ya kuijenga kwa kisingizio cha globalization. Huo ni ulimbukeni!
 
au kuweka uwiano mzuri....na nyie wanaume muwe mnavaa nguo za kututamanisha na sisi.......hata sisi tunapenda kutamani jamani
 

Mdogo mdogo ndugu
Punguza jazba, tushauriane kwa lugha nzuri.

Anyway, kwa mavazi ni kweli wanawake wanapaswa kubadilika.
Kusema hupaswi kumtamani kwa kuwa hukulenga kumtamanisha mwanaume yoyote ni kutetea uvaaji ovyo
Kama mwanaume akitamani mwanamke aliyevaa vizuri, basi hilo ni tatizo lingine la mwanaume, inapaswa arekebishwe.
Limeshasemwa sana kwamba uvaaji wa kuonyesha maumbile ya mwanamke, wenyewe tu unaweza kuchochea tamaa za mwili kwa mwanaume.

Hili lapaswa lichukuliwe serious na wanawake, kwa sababu bado kuna wanaume wengi tu wanaweza wakatamanishwa na uvaaji huu.
Na isitoshe sio tamaa tu, pia ni alama mbaya kwa watoto wetu ambao nao wataona kumbe ni kitu cha kawaida kuvaa hivyo.
Na imeshasemwa kwamba uvaaji wa aina hiyo unashusha hadhi ya mwanamke.
Huwezi ukavaa nguo za kubana miguu, mapaja nje-nje, matiti yameinuliwa na kuoneshwa nje mpaka yanaonekana kama yapo matatu halafu unasema wewe ni mwanamke mwenye staha kwa vile uliyevaa ni mbunge.
Wanaovaa hivi wanapaswa wabadilike
 
Kwahiyo unahalalisha anaembaka ndugu /mtoto wake kwa kisingizio cha kwamba amevaa vibaya???Kweli wewe una akili sana! Zamani walivyokua wanafunika kifua tu Nna sehemu ya chini kidogo sijui walibakana wangapi!!!

Lizzy,
Kwa dunia ya sasa, naweza kuvaa kama zamani (kama ulivyoeleza) na kwenda kanisani???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…