Babu wa Loliondo
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 323
- 105
Habari wana JF,ni mwaka wa 3 sasa tangu nimalize chuo,nimejitahidi kufanya application yoyote inayoendana na fan yangu bila mafanikio,sasa nimeamua kutoa chochote ili nipate kazi,japo naamin rushwa ni adui wa haki lakin inanibidi nifanye hivyo...SO NATAFUTA KAZI YA KUNUNUA.ushauri wa kujenga unaruhusiwa kama huna cha kusema bora usichangie,Naomba kuwasilisha
Habari wana JF,ni mwaka wa 3 sasa tangu nimalize chuo,nimejitahidi kufanya application yoyote inayoendana na fan yangu bila mafanikio,sasa nimeamua kutoa chochote ili nipate kazi,japo naamin rushwa ni adui wa haki lakin inanibidi nifanye hivyo...SO NATAFUTA KAZI YA KUNUNUA.ushauri wa kujenga unaruhusiwa kama huna cha kusema bora usichangie,Naomba kuwasilisha