The Only Kilo
JF-Expert Member
- Jul 16, 2010
- 352
- 87
kila nikila asali najiskia tumbo linauma sana maanake sjajua kitaalamu itakuwa inasababishwa na nini? najua madoctor mpo wengi na hata kama sio doctor wee toa uzuefu wako kwa nini tumbo liume ukila asali ya nyuki wakubwa wanaudunga kinauma sio wale wadogo