Najuta kuingalia video ya Joshua

Na kama wote tutafuata dini ya kweli kwa ukweli ya Yesu Mpende Jirani yako kama nafsi yako na umpende Mungu kwa moyo na nafsi yako yote.
Kwani hata yesu mwenyewe si alikuwa ni muisraeli?

Na kama angekuwepo kwa sasa angekuwa ndie anaeongoza vita!

Hizi kanuni za maisha usizihusishe na mambo ya dini.
 
Still hamna ali confirm kama ni huyo mtu kweli. Sema wabongo tunapenda ushabiki wakijinga tu.
Bro si kuna mtu humu anaitwa Twilumba kasema kabisa anamjua huyo dogo na hata mzazi wake Mwalimu Mollel anafahamu na hata Waziri wa Mambo ya nje January Makamba kathibitisha hilo? Mbona u ajitoa fahamu ndugu yangu?
 
ndio maana nikasema endele kula ushibe ulale,palestina hawakimbii!!!!simu unaitumia kuangalia picha chafu tu??kwa taarifa yako wenye uwezo wanahaha leo kesho kuondoka,wanazuiwa na hao vibaka wa muhammad.

Walipoomba kuingia misri,misri walikataa katu katu kufungua mipaka baada ga kugundua hao vibaka wataanza fujo kwao pia.

Ardhi inapiganiwa kwa kuua na kuteka mpaka wasio wakazi husika!!!!
 
Unakatwa mwanangu.
 
Nimeona mwili wa huyo kijana, ni kama alijisalimisha, mikono iko juu, hiyo haikutosha wakamtia risasi kifuani, ee Mungu utuhurumie
 
Balozi gani aondoke? Na sababu ni ipi?
Sababu ni hii mada inayoendelea.

Mambo ya diplomasia ndivyo yanavyokwenda kwa nchi zinazojitambua.

kama sivyo barozi anatakiwa atoe tamko haraka sana kuwa huo sio msimamo wa palestina dhidi ya raia wa tz walioko huko kama mateka au watalii,ila ni msimamo wa wahuni kutoka hammas.
 
Nimeona mwili wa huyo kijana, ni kama alijisalimisha, mikono iko juu, hiyo haikutosha wakamtia risasi kifuani, ee Mungu utuhurumie
Jana sijalala kwa kweli. Imeniuma sana. Laiti kama angekuwa mdogo au kaka yangu, leo ningekuwa pale ubalozini naandamana peke yangu lakini pia ningelipa kisasi kwa mwarabu yoyote hapa Tanzania. Ile damu isingemwagika bila kisasi.
 
Hamas ni magaidi, kama wanaotumia Hospitali kama Kinga kivita, hawawezi shindwa kuua ndugu zetu.

Tuibariki Israel, iwapoteze kabisa Hamas.
 
"We are fighting human animals and we are acting accordingly,”- Yohav Gallant.
 
From North to South HAMAS terrorists watauwawa kama vilivyoua vijana wetu Joshua na Clemence. Mungu ibariki ISRAEL iifute HAMAS kwenye uso wa dunia.
 
Ndio maana nakwambia kua huna akili ya uelewa wa mambo,Misri na nchi zingine hawakutaka Wapalestina wawe wakimbizi na kumuachia yahudi nchi yao,lengo la hao Zionist ilikua wanataka wapalestina waikimbie nchi yao ili waitawale kama ilivyokua 1948 sasa wewe Mgalatia unayejiita Mkorinto huna akili ya uelewa wa hayo mambo,endelea kuuziwa maji ya upako na chumvi ili uje kua tajiri kimiujiza,

Hao mabwana zako waliomuua Mungu wako,wao wameua watu wangapi wasiokua na hatia? Mpaka sasa wameua waandishi wa habari 97 wamepiga mpaka hospitali na refugee camp.
 
Ndio maana nakwambia kua huna akili ya uelewa wa mambo,Misri na nchi zingine hawakutaka Wapalestina wawe wakimbizi na kumuachia yahudi nchi yao
Tumia akili kufikiri sio kukalia mkuu.wengine tunafatilia haya mambo kwa umakini mkubwa sana na hatuna upande si kwa sababu ya dini wala ushabiki mwingine.

Kwahiyo hao wanajeshi wa Muhammad wanazuia raia dhaifu wasitoke kwanini???
,lengo la hao Zionist ilikua wanataka wapalestina waikimbie nchi yao ili waitawale kama ilivyokua 1948 sasa wewe Mgalatia unayejiita Mkorinto huna akili ya uelewa wa hayo mambo,endelea kuuziwa maji ya upako na chumvi ili uje kua tajiri kimiujiza,
kama napata utajiri kwa kununua maji utatumia ramadhani ngapi kunishawishi kwamba Allah anaweza ikiwa hata kusaidia wale magaidi wanaomtukuza pale palestina imeshindikana!!!!
Hao mabwana zako waliomuua Mungu wako,
Ndio hawa leo wanamfilimba Allah mbele ya waislam huku haonekani,Allah anavunjiwa nyumba yake na yuko amestarehe na kipenzi chake Muhammad hana habari😁😁😁
wao wameua watu wangapi wasiokua na hatia? Mpaka sasa wameua waandishi wa habari 97 wamepiga mpaka hospitali na refugee camp.
Mimi leo hii naweza kukwambia mayahudi ni wauaji,ipi tafsiri ntaitumia kwa hammas walioua ndugu yangu bila hatia!!!!
 
Sio palesina ni PALESTINA.chuki hazijawahi kua suluhu.r.i.p.

Sent from my SM-G985F using JamiiForums mobile app
 
Unaona sasa jinsi ulivyo mpumbavu usiyekua na akili? Juu unasema huongei kwa ushabiki wa dini,kisha chini ukaharisha kwa kukashifu dini,huna akili wewe Kafiri.
 
kwahiyo umefaidika na nini?

Mnaambiwa acheni kuvaa bendera za mataifa na alama za makundi hamuelewi yakiwakuta mnaanza kulalamika na kutia huruma.

Watu mjifunze.
 
Unaona sasa jinsi ulivyo mpumbavu usiyekua na akili? Juu unasema huongei kwa ushabiki wa dini,kisha chini ukaharisha kwa kukashifu dini,huna akili wewe Kafiri.
Hii dunia leo inapitia matatizo yasiyo na ulazima sababu ya ucenge wa dini hii.
Kama utajaa upepo wewe jaa,lazima ukweli uambiwe.

Yahudi ni washenzi kweli kweli lakini haiondoi ukweli kwamna dini yao haijabungua akili zao bado wanazo.

Hao wengine dini zimeondoa kabisa hata utashi wao,hawana tofauti na nguruwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…