Najuta kukosa mkopo

hayo sio makosa ya simu unayotumia!!
ona sasa umerudia tena
alafu!!!
imealibika!!!
anyway kama kweli upo udsm ukiendelea na hiyo tabia yako nakupa mwaka mmoja hiyo engineering utaisikia tu
My Form iv results
kiswahili-F
mathematics -distinction
science subject- distinction and the rest l scored normal
CONCLUSION; you are right katika kunikosoa.
QUESTION; are you a teacher now like faizafoxy .
 
Kwa ui-engineeer huu utaangusha majengo meeengi sana.[emoji1]
nilisimamia banda langu la rooster and pen cattle katika constraction hapo nilikua primary lakini mpaka sasa hivi yako imara sembuse building.
 
uki disko kasome diploma tu itakusaidia na utaacha mawazo mgando
usihofu lazima ni-club kwa hawa watoto wa UDSM yani siachi kitu hapa I have no doubt on that and l will find money anywhere nikawaonge wale watoto.
 
usihofu lazima ni-club kwa hawa watoto wa UDSM yani siachi kitu hapa I have no doubt on that and l will find money anywhere nikawaonge wale watoto.
ok si mbaya kama una soma shahada ya theater arts sijuh au music ni sawa ila kama upo konas semista moja ujiandae na 2017/2018 na omba tcu wasifanye yao hawachelew waliwaonea huruma 2d sasa mwakani 2c
 
hayo sio makosa ya simu unayotumia!!
ona sasa umerudia tena
alafu!!!
imealibika!!!
anyway kama kweli upo udsm ukiendelea na hiyo tabia yako nakupa mwaka mmoja hiyo engineering utaisikia tu
Independent schools ni zp jamani nina wasi wasi na huyu injinia wetu mtarajiwa!
 
aha kumbe,nikajua hii ninayoifahamu mim,kumbe upo nyingne mkuu,saw wasalmie huko
 
My Form iv results
kiswahili-F
mathematics -distinction
science subject- distinction and the rest l scored normal
CONCLUSION; you are right katika kunikosoa.
QUESTION; are you a teacher now like faizafoxy .
Hakuna injinia hapa jamani ,samahani umeingia engineering tokea form 4 au 6 hiyo Independent school uliyosoma kabla ni ipi?
 
Independent schools ni zp jamani nina wasi wasi na huyu injinia wetu mtarajiwa!
Which level are you ?
why are you asking forum a silly question?
answer:: independent school is another name of private school and these schools are not owned by government.
 
UDSM imulikwe vema, ni hasara kubwa kukatwa kodi akapewe mkopo kilaza kama huyu.... naunga mkono vyuo vikuu kupunguzwa.
umeanza vizuri ila hapo kupunguzwa[emoji15] [emoji15] vitafyekwa vinginei ila si udsm
 
 
Kuna shida mahali, kama huyu naye anasoma UD tena injinia sasa kuna nini pale..... basi tuseme anajiita tu.
Naona unaongelea UD ambayo ni university of Dar and not UDSM ambayo ni university of Dar es salam kwahiyo university of Dar wanaweza wakifuta tu coz akina demerit or negative impact mkuu.Playboy engineer to be.
 
Ulimwengu wa magonjwa jingalao linatamani kulazwa
 
Ulianza vizuri umeshindwa kumalizia, nakushauli umsikilize mwana FA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…