Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss la Jf naomba 50k tu nicheki dm kama unania ya kunisadiaKamilioni mbili ni kahela ka kukasikitikia kweli?
Mbona hela ndogo, watu wana nunia hadi million 5 na wako kimyaJambo Afrika?
Mimi kama kijana wa sasa mwezi 4 mwaka huu nilinunua cm kali iphone matata ya million 2.3..
Ila nimekuja kukundua kuwa nimekimbilia maisha ya Wastafu!
So hiyo pesa bora ningeiweka kwenye miradi mingne tu kiukweli najuta.
Tena za bongo ni fake!Jambo Afrika?
Mimi kama kijana wa sasa mwezi 4 mwaka huu nilinunua cm kali iphone matata ya million 2.3..
Ila nimekuja kukundua kuwa nimekimbilia maisha ya Wastafu!
So hiyo pesa bora ningeiweka kwenye miradi mingne tu kiukweli najuta.
Mradi wa kuku,,angenaza kuzalisha au UTTMilion 2 ungeweka kwenye mradi gan?
Ww ndo wale waleta mada kwa lengo la kuponda wamiliki wa simu za bei gar wasokua na kaz
Ukiweka utt hiyo unapata ngapi kwa nweziMradi wa kuku,,angenaza kuzalisha au UTT
Nilishakuonyaga uwache kusoma vitabu vilivyoandikwa na wanaume wengine. 😡ungejimenyea kitu chako cha laki tatu unusu hiyo nyengine ungetuliza likizazi!
Usirudie tena...Jambo Afrika?
Mimi kama kijana wa sasa mwezi 4 mwaka huu nilinunua cm kali iphone matata ya million 2.3..
Ila nimekuja kukundua kuwa nimekimbilia maisha ya Wastafu!
So hiyo pesa bora ningeiweka kwenye miradi mingne tu kiukweli najuta.
Bila shaka wewe ni wakike ila kama kweli ni kijana basi una tabia na hulka za dada zetu. Anza kwanza kubadilisha hulka na tabia zako majuto kwa sasa hayatokusaidiaJambo Afrika?
Mimi kama kijana wa sasa mwezi 4 mwaka huu nilinunua cm kali iphone matata ya million 2.3..
Ila nimekuja kukundua kuwa nimekimbilia maisha ya Wastafu!
So hiyo pesa bora ningeiweka kwenye miradi mingne tu kiukweli najuta.
nawewe acha kutumia mtandao ulioanzishwa na wanaume wengine nyumbu wewe!.Nilishakuonyaga uwache kusoma vitabu vilivyoandikwa na wanaume wengine. 😡
Zwazwa mwenyewe 🤣👆🏿