Kiendacho kwa mgangaWakulipe mchango wako, zawadi waliyonunua kamati na mchango wako upo kwa nini wakutoe nje kwa hila? Dai mchango mkuu
Aaah wapi? Hapo kingeeleweka tu, sio kwamba nimekosa chakula hapana Ila huo ni uhuni uliopitiliza kama mchango haukutosha wangesema sio wasingizie zawadiKiendacho kwa mganga