holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Wakuu,
Babu yangu ambaye ni kaka yake marehem bibi ni mwanajeshi mstaafu na mkurugenzi mtendaji ktk kampuni moja wapo ya uchimbaji madini huko Ushirombo mkoani Geita.
Nilipomaliza shule (CSEE)nilikaa home kama miaka miwili hivi nyumbani nikijishughulisha na kilimo cha kujikimu hapa nyumbani nilianza ufugaji wa kuku wa kienyeji hapa nyumbani.
Siku moja tulipata ugeni,na mgeni huyu ni babu yangu alikuja kutusalimia, si nikamwambia kuwa nataka kazi katika kampuni yao,babu akakubali,akaniambia inatakiwa niandae pesa kiasi cha sh.elf10 kwa ajili ya form ya maombi nikampa na form zikaja
ikabidi nijaze form hiyo,nikajaza yote, ila kwenye nida,ndipo kulinifanya niuze kuku wangu wote kwa ajiri y a kufuatilia nida bila mafanikio,ilifika mahali nilikuwa nikienda ofsi za nida wakinipga danadana naanza kulia hapohapo,mpaka mzee akaniambia nitume hiyo baru hivyo hivyo bila nida.
ikabidi nitume tu hiyo barua na akaniambia nisubiri majibu, nadhani kukosekana kwa nida ndio kunanifanya nisubr majibu mpaka leo inaendele
Babu yangu ambaye ni kaka yake marehem bibi ni mwanajeshi mstaafu na mkurugenzi mtendaji ktk kampuni moja wapo ya uchimbaji madini huko Ushirombo mkoani Geita.
Nilipomaliza shule (CSEE)nilikaa home kama miaka miwili hivi nyumbani nikijishughulisha na kilimo cha kujikimu hapa nyumbani nilianza ufugaji wa kuku wa kienyeji hapa nyumbani.
Siku moja tulipata ugeni,na mgeni huyu ni babu yangu alikuja kutusalimia, si nikamwambia kuwa nataka kazi katika kampuni yao,babu akakubali,akaniambia inatakiwa niandae pesa kiasi cha sh.elf10 kwa ajili ya form ya maombi nikampa na form zikaja
ikabidi nijaze form hiyo,nikajaza yote, ila kwenye nida,ndipo kulinifanya niuze kuku wangu wote kwa ajiri y a kufuatilia nida bila mafanikio,ilifika mahali nilikuwa nikienda ofsi za nida wakinipga danadana naanza kulia hapohapo,mpaka mzee akaniambia nitume hiyo baru hivyo hivyo bila nida.
ikabidi nitume tu hiyo barua na akaniambia nisubiri majibu, nadhani kukosekana kwa nida ndio kunanifanya nisubr majibu mpaka leo inaendele